The Hood
Member
- Oct 16, 2015
- 47
- 17
Habari zenu wakuu!
For time being nimekua nikiwaza kufungua blog lakini changamoto imekuwa ni aina gani ya blog inayolipa! Ni nini watu wanapenda ili nikiweka katika blog yangu niweze kupata viewers wengi!
Kwakua humu ndani kuna Bloggers wana experience na blogging ningeomba msaada wenu kuwa ni vitu gani vinapendelewa na watu mbalimbali ili niweke kwenye blog, pia vip kama nikiamua kutobase sehemu moja, nikawa ni mtu wa kublog udaku, technology, sports, miziki n.k
Huenda nikapata viewers wengi maana ninategemea ads zinilipe kwa kuanzia google adsense then viewers na traffic zikiwa kubwa nianze kuweka ads za kampuni kubwa hapa Tanzania!
Badala ya kubase na kitu kimoja tu (kama vile muziki) nilikuwa nataka kublog vitu mbali mbali, je hii itakuwa poa?
Kwa wenzangu mlionitangulia vip nyie mnafanyaje (mnablog vitu vingi au mmebase kwenye kitu kimoja tu)? Naombeni msaada wenu na maoni yenu please.
N.B: Nakaribisha maoni na mitazamo tofauti tofauti
Ahsanteni...
For time being nimekua nikiwaza kufungua blog lakini changamoto imekuwa ni aina gani ya blog inayolipa! Ni nini watu wanapenda ili nikiweka katika blog yangu niweze kupata viewers wengi!
Kwakua humu ndani kuna Bloggers wana experience na blogging ningeomba msaada wenu kuwa ni vitu gani vinapendelewa na watu mbalimbali ili niweke kwenye blog, pia vip kama nikiamua kutobase sehemu moja, nikawa ni mtu wa kublog udaku, technology, sports, miziki n.k
Huenda nikapata viewers wengi maana ninategemea ads zinilipe kwa kuanzia google adsense then viewers na traffic zikiwa kubwa nianze kuweka ads za kampuni kubwa hapa Tanzania!
Badala ya kubase na kitu kimoja tu (kama vile muziki) nilikuwa nataka kublog vitu mbali mbali, je hii itakuwa poa?
Kwa wenzangu mlionitangulia vip nyie mnafanyaje (mnablog vitu vingi au mmebase kwenye kitu kimoja tu)? Naombeni msaada wenu na maoni yenu please.
N.B: Nakaribisha maoni na mitazamo tofauti tofauti
Ahsanteni...