Blind date hii noma sana

Blind date hii noma sana

Pole sana... ndiyo maana ya "Blind date" tia mkono upapase, utakachokuta ndiyo size yako...
 
Humu unakuta mtu anajitia kuwa active kumbe ni home mom ..anawatoto watatu na ndoa ..akija basi ujue mumewe kasafir
ukimpa keyboard sasaaa..si utajua totoooz nimepata..kwa mahaba kwa washa washa zoote anajua
akija ki date kaja na kitenge mixa kikoi..lol

Kali sana hii, mmoja sikaja na shoga yake pamoja na katoto kadogo ati kaje kamwone uncle (yani mim), sijui hawa huwa wana nin yana masomo ya humu jf huwa hayawaingii, mwisho wa siku ataishia kukulaumu kwa kumwacha solemba
 
naskia wa JF wana vizinga balaa

Si wote japo wapo ambao siku ya kwanza tu utasikia, " kama unataka tuonane ntumie voucher" , hawa mim huwa nawapenda sana mana tayari anakuwa ashanirahishia kujua ni mtu wa aina gani, hapo ndo inakuwa dead end
 
Back
Top Bottom