Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,835
Mimi nina experience tofauti aisee. Nilikutana na binti mmoja hapa hapa JF. Ni binti msomi na mwenye mtazamo mpana sana kuhusu maisha na masuala mbali mbali yanayohusiana nayo. Yaani mkikaa kuongea utafikiri unaongea na Socrates jinsi anavyopangilia hoja kulingana na mada. Mpaka leo nikiwa na jambo zito linalonitatiza ndiko ninakimbilia kuomba msaada wa kimawazo.
Physically pia binti yuko vizuri siwezi kulalamika na ni mtu wa gym sana - flexibility from yoga ile mbaya (if you know what I mean). Kwangu mimi sina cha kulalamika kwa kweli. Thanks JF!
Physically pia binti yuko vizuri siwezi kulalamika na ni mtu wa gym sana - flexibility from yoga ile mbaya (if you know what I mean). Kwangu mimi sina cha kulalamika kwa kweli. Thanks JF!