Mkuu unafahamu sababu nchi za Uarabuni kutaka kukataa kuzitumia hizo simu? Just Google it utajua naongelea kitu gani.
Kwa kuongezea tu ni kuwa watu walikuwa wanapenda BB kupitia application ya BBM (Black Berry Messaging) Sasa Iphone nao wamekuja na iOS 5 ambayo ina service kama hiyo iMessage ni service ambayo unaweza kutuma unlimited message bure kupitia WI-FI au 3G na itatumika katika iPad, iPhone na iPod
http://www.google.com/search?q=ipho...&tbo=u&ei=PKrvTYD9CY-OvQO_l9CPCQ&ved=0CDYQqAI
Imezizidi kwa weusi.
Kaka BB ni mahususi kwa shughuli za kiofisi /kibiashara hasa linapokuja suala la BES na BIS hakuana simu itakayoifkia kwa sasa hasa kwenye mambo ya emails,usiri wa data kwa washindani wa kibiashra,BB imeundwa si kwa ajili ya kujifurahisha kama zilivyo I Phone,Nokia,HTC,SEBlackberry ni kipi hasa ilicho zizidi simu nyingine?
hapo kaka umeongopa BB si kwa corporate user too hata mimi kalagabaho naitumia kwa BIS na inanisaidia sana kufanya kazi zangu za kijasiriamali ,ndio inaniletea ugali mezani kaka,simu zingine ni kwa ajili ya kupigia ,kupokea na kucheza music BB inasaidia sana kwa kazi kati ya smart phones kwani kwa huu mgao atleast betri inakaa na unaweza kutuma document faster ,hata laptop naanza kuisahau kidogo,kwangu mii BB ni kifaa cha kazi na si cha ulimbwendeMi nadhani wabongo wengi tunanuanua BB kama fashion tu. kama unavyoona serikali inavyonunua mashangingi kwa safari za masaki tu posta.
BB ni corporate phone for corporate users . Sasa how many BB owner In Tanzania can call themselves corporate user???? kama watu wangejua concept nzima ya design na reason behind BB watagundua kuw ajap wanaitumia haikuwa Idea ya desinger iwe hivyo
mh aheri ya dotnta aliyenunua hummer ya kukodisha kwenye harusi anadai kanunua milioni 100,so kila mtu ana matumizi yake na sio show off wajemeniwat eva the case wabongo wengi tuna bb coz of show off.wakati hana uwezo wa kununua bundle na haimasidi katika maisha yake .tujifunze kutumia simu kwa manufaa yetu na kazi zetu
Kama philips savy
All roads leads to APPLE.
kwa Bwn Omary unanishawishi ninunue iphone, nadandia mada ya jamaa yangu. Ila hiyo iphone iwe ni type gani (ukitilia maanani price conscious) nzuri zaidi??????????Historia ya hizo simu inasema kwamba zilitengenezwa kwa ajili ya kazi za kijasusi tu kwa mashirika ya kijasusi ya kimarekani baadaye ndio zikawewkwa sokoni zikaweza kutumiwa na watu wote so tatizo la hizo simu walivyobadili mfumo kutoka kwa mfumo wa kijasusi kwenda kwa mfumo wa simu za kawaida kuna vitu ambavyo walisahau kuvitoa kwenye bios ya hizo simu,hizi simu hazina siri kwenye server zao za Canada na USA operator anaweza kusoma msg zote za kwenye hizo simu kuanzia sms mms hadi email nakila kitu kilichomo kwenye hiyo simu so mwenye simu anakuwa hana usiri tena na mambo yake thats why last year baadhi ya nchi za Kiarabu zilipiga marufuku matumizi ya hizo simu. Ingawa nimeshawahi kuzitumia lakini wala hazikunifurahisha hata kidogo coz internet unanua bundle yake yenyewe ya bb inayojitegemea kwa wiki au kwa mwezi wakati ukitumia smartphone ya iphone unanua bundle ya kawaida tu na matumizi yake ni ya kawaida tu wakati hiyo iphone kwanza speed yake ya net ni kubwa zaidi ya bb na ina apps za kueleweka.
Kitu samsung galaxy s 2 bana.. hamna cha bb wala nini..
hapo kaka umeongopa BB si kwa corporate user too hata mimi kalagabaho naitumia kwa BIS na inanisaidia sana kufanya kazi zangu za kijasiriamali ,ndio inaniletea ugali mezani kaka,simu zingine ni kwa ajili ya kupigia ,kupokea na kucheza music BB inasaidia sana kwa kazi kati ya smart phones kwani kwa huu mgao atleast betri inakaa na unaweza kutuma document faster ,hata laptop naanza kuisahau kidogo,kwangu mii BB ni kifaa cha kazi na si cha ulimbwende