Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Mi nadhani wabongo wengi tunanuanua BB kama fashion tu. kama unavyoona serikali inavyonunua mashangingi kwa safari za masaki tu posta.
BB ni corporate phone for corporate users . Sasa how many BB owner In Tanzania can call themselves corporate user???? kama watu wangejua concept nzima ya design na reason behind BB watagundua kuw ajap wanaitumia haikuwa Idea ya desinger iwe hivyo
hahaa ndo sie ma corporate sasa tupo bize na BB zetu hapa samaki samaki....teeeh