WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Vuta subira... wapo watakuambia tu...Duh! Mbona ivo.....hata PM basi..Fidel hapa naona hadi jumatatu.....
Vuta subira... wapo watakuambia tu...Duh! Mbona ivo.....hata PM basi..Fidel hapa naona hadi jumatatu.....
Ngojeni kwanza... men kuweni wawazi...Mnatamani kwanza kabla ya kukupenda....
Nimewahi kusikia kwamba wanaume wanasema black woman is the hottest than white woman, is it true?
Secondly, akipita mwanamke mweusi amekula mini dress ya nguvu roho inawastuka lakini apite mzungu in her very short skirt, u just feel nothing.......
Ngojeni kwanza... men kuweni wawazi...Mnatamani kwanza kabla ya kukupenda....
Nimewahi kusikia kwamba wanaume wanasema black woman is the hottest than white woman, is it true?
Secondly, akipita mwanamke mweusi amekula mini dress ya nguvu roho inawastuka lakini apite mzungu in her very short skirt, u just feel nothing.......
Ohh, thats is debatable mazee...kila binadamu ana tastes zake..haya mambo hayana general formula.
ni kweli tunaanza kutamani kabla ya kupenda kwani kupenda is more deeper than kutamani.na huwezi kumpenda mtu kabla ya kumtamani (huwezi kusema unakipenda chakula wakati ujawahi kukionja).Ngojeni kwanza... men kuweni wawazi...Mnatamani kwanza kabla ya kukupenda....
Nimewahi kusikia kwamba wanaume wanasema black woman is the hottest than white woman, is it true?
Secondly, akipita mwanamke mweusi amekula mini dress ya nguvu roho inawastuka lakini apite mzungu in her very short skirt, u just feel nothing.......
ni kweli unayosema muheshimiwa na kama angeweka swali lake hivyo ingekuwa sawa lakini hakuishIa hapo bali yeye na huyo black man wame attack dada zetu kwenye hio post.vitu kama "too fat,too loud, too mean, too argumentative,too needy,too materialistic or carrying too much excess bagggage."vitu hivi vyote sio kweli kwamba wanawake weusi wote wako hivi ni hao ambao "black man" wake ametokea kukutana nao au labda jamaa alitumia maneno hayo kujaribu kuprove his case kwanini anamtaka yeye "white woman" wakati kuna warembo wengi weusi.Hmmm, binti wa kizungu amechukia!! well kama nimemsoma vizuri yeye anauliza iweje dada zetu wa kibantu wamtazame kwa macho ya kutaka kumaliza wanapomuona yeye yuko na blackman, ni kweli hii hutokea, hawa dada zetu wanaona kwanini huyo kaka awe na huyu binti wakati sisi dada zake tupo, haya macho ya design hii nimekwisha yaona sana, hii ni jinsia ya mtu ama culture, lakini kila mtu ana haki ya kumpenda amtakae..wengine hata hudiriki kusema, sijui amempendea nini, hebu mcheki kwanza, she's all bones, haya yapo sana
Subiri Fidel atakuambia ni nini ndugu yangu.
hahahaha WOS hii WESEDE mdau kaniomba nije niijibu huku nilikuwa sijaiona hahahaha mambo yetu yaleee ya wesede mugongo mugongo wacha bana Mbu upo hapo?
Huyo mrembo ni kwamba hajalijua hilo?
Mwambieni aache kujishau ati kaolewa n amweusi kwavile yee ni grade A material!
Mbona pia hajasema kuwa wanawapenda kaka zetu kwa vile mambo wanayaweza? Hii ni moja ya sababu za chuki kubwa baina ya kaka wa kizungu na kaka zetu waafrika toka enzi za utumwa!Truth be told!
???????????????????????Hao back women anaowazungumzia ni Wamarekani weusi au Waafrika kutoka Afrika?
Mwanaume akikutamkia anakupenda right from the go basi ujue huyo anatumia neno 'nakupenda' kama daraja la kupata anachotaka...
**Nilishawahi kumtamkia mtu "I Love you" just to get in her pants lakini kiukweli ukweli nilikuwa nimemtamani.