nafurahishwa na utendaji kazi wa huyu bwanaKile kinanda cha nitoke vipi cha bwana misosi kagonga yeye..kwa kifupi nyimbo ile yote ina mkono wake..yuko vizuri..hata kibanda cha simu ya soggy doggy kila kinanda cha kulalamika kagonga yeye..bizzman kawatoa wengi sana japo sifa wamekua wakipata wamiliki wa studio
pamojaShukrani sana mtoa mada, juzi nikitaka kuanzisha mada ya kumuulizia huyu jamaa.
Asante pia kwa mliosema yupo hapo temeke anaendelea na muziki akipiga kinanda. Safi sana.
Kile kinanda cha nitoke vipi cha bwana misosi kagonga yeye..kwa kifupi nyimbo ile yote ina mkono wake..yuko vizuri..hata kibanda cha simu ya soggy doggy kila kinanda cha kulalamika kagonga yeye..bizzman kawatoa wengi sana japo sifa wamekua wakipata wamiliki wa studio
Kile kinanda cha nitoke vipi cha bwana misosi kagonga yeye..kwa kifupi nyimbo ile yote ina mkono wake..yuko vizuri..hata kibanda cha simu ya soggy doggy kila kinanda cha kulalamika kagonga yeye..bizzman kawatoa wengi sana japo sifa wamekua wakipata wamiliki wa studio
Aje na single walau hata moja.
Kibanda cha simu wa Soggy Doggy Ngaiza umetengenezwa Bongo Records na Producer ni P Funk Majani. Sina uhakika kama Bizzman alihusika.
Yale yale ya kuchanganya producer na insrumentalists. Mtu akipiga chombo kwenye wimbo haimaanishi kuwa ni producer. Bizman ni mzuri sana kwa vinanda au kitaalamu "strings" na producers kibao huwa wanamtumia. Yeye anapewa concept na producer kisha anafanya vitu vyake.
Ni kweli jamaa ni very talented.Kile kinanda cha nitoke vipi cha bwana misosi kagonga yeye..kwa kifupi nyimbo ile yote ina mkono wake..yuko vizuri..hata kibanda cha simu ya soggy doggy kila kinanda cha kulalamika kagonga yeye..bizzman kawatoa wengi sana japo sifa wamekua wakipata wamiliki wa studio
Nimezungumzia nyimbo ya nitoke vipi ambayo bwana misosi awali alirekodi kwa mika mwamba akiwashirikisha mandojo na domokaya lkn haikutoka alivyotaka ndipo bizman akashiriki kuitengeneza na chorus kuimbwa na hard mad mwishowe ikatoka ilivyotoka ..mi sio mtaalam wa muziki na tukianza kubishana producer ni nani na vocalist ni ninani mjomba utanishinda!!
Heh!!! We kweli MkupuoDuh kweli lugha ngumu. Yani aje na single walau hata moja! Tafsiri ya neno single kwa kiswahili ni nini mkuu?
poa manMkuu bizman yupo mbonw? Daily mi namuona mbona? Jamaa hajapigika kama wengi wanavodai sema huwa anapenda kuishi maisha ya kawaida.ana gari ila haitumii.nadhani anataka kupunguza mwili na ndio maana anatembea kwa mguu.ila jamaa yupo na ni very social
Nakumbuka ule wimbo wa "indege "na InAfrika Band na kina Bob Rudala