Bizman yupo wapi siku hizi?

Kile kinanda cha nitoke vipi cha bwana misosi kagonga yeye..kwa kifupi nyimbo ile yote ina mkono wake..yuko vizuri..hata kibanda cha simu ya soggy doggy kila kinanda cha kulalamika kagonga yeye..bizzman kawatoa wengi sana japo sifa wamekua wakipata wamiliki wa studio
nafurahishwa na utendaji kazi wa huyu bwana
 
Kile kinanda cha nitoke vipi cha bwana misosi kagonga yeye..kwa kifupi nyimbo ile yote ina mkono wake..yuko vizuri..hata kibanda cha simu ya soggy doggy kila kinanda cha kulalamika kagonga yeye..bizzman kawatoa wengi sana japo sifa wamekua wakipata wamiliki wa studio


Kibanda cha simu wa Soggy Doggy Ngaiza umetengenezwa Bongo Records na Producer ni P Funk Majani. Sina uhakika kama Bizzman alihusika.
 
Kile kinanda cha nitoke vipi cha bwana misosi kagonga yeye..kwa kifupi nyimbo ile yote ina mkono wake..yuko vizuri..hata kibanda cha simu ya soggy doggy kila kinanda cha kulalamika kagonga yeye..bizzman kawatoa wengi sana japo sifa wamekua wakipata wamiliki wa studio

Yale yale ya kuchanganya producer na insrumentalists. Mtu akipiga chombo kwenye wimbo haimaanishi kuwa ni producer. Bizman ni mzuri sana kwa vinanda au kitaalamu "strings" na producers kibao huwa wanamtumia. Yeye anapewa concept na producer kisha anafanya vitu vyake.
 
Kibanda cha simu wa Soggy Doggy Ngaiza umetengenezwa Bongo Records na Producer ni P Funk Majani. Sina uhakika kama Bizzman alihusika.

Ni bongo records kweli.. kuna kipindi bizman na soggy mwenyewe walikua wanamsaidia pfunky pale bongo records!!. Ila naona walishindwana wakaondoka
 
Yale yale ya kuchanganya producer na insrumentalists. Mtu akipiga chombo kwenye wimbo haimaanishi kuwa ni producer. Bizman ni mzuri sana kwa vinanda au kitaalamu "strings" na producers kibao huwa wanamtumia. Yeye anapewa concept na producer kisha anafanya vitu vyake.

Nimezungumzia nyimbo ya nitoke vipi ambayo bwana misosi awali alirekodi kwa mika mwamba akiwashirikisha mandojo na domokaya lkn haikutoka alivyotaka ndipo bizman akashiriki kuitengeneza na chorus kuimbwa na hard mad mwishowe ikatoka ilivyotoka ..mi sio mtaalam wa muziki na tukianza kubishana producer ni nani na vocalist ni ninani mjomba utanishinda!!
 
Kile kinanda cha nitoke vipi cha bwana misosi kagonga yeye..kwa kifupi nyimbo ile yote ina mkono wake..yuko vizuri..hata kibanda cha simu ya soggy doggy kila kinanda cha kulalamika kagonga yeye..bizzman kawatoa wengi sana japo sifa wamekua wakipata wamiliki wa studio
Ni kweli jamaa ni very talented.
 
Nimezungumzia nyimbo ya nitoke vipi ambayo bwana misosi awali alirekodi kwa mika mwamba akiwashirikisha mandojo na domokaya lkn haikutoka alivyotaka ndipo bizman akashiriki kuitengeneza na chorus kuimbwa na hard mad mwishowe ikatoka ilivyotoka ..mi sio mtaalam wa muziki na tukianza kubishana producer ni nani na vocalist ni ninani mjomba utanishinda!!

Ok, poa Mkuu.
 
Mkuu bizman yupo mbonw? Daily mi namuona mbona? Jamaa hajapigika kama wengi wanavodai sema huwa anapenda kuishi maisha ya kawaida.ana gari ila haitumii.nadhani anataka kupunguza mwili na ndio maana anatembea kwa mguu.ila jamaa yupo na ni very social
 
Mkuu bizman yupo mbonw? Daily mi namuona mbona? Jamaa hajapigika kama wengi wanavodai sema huwa anapenda kuishi maisha ya kawaida.ana gari ila haitumii.nadhani anataka kupunguza mwili na ndio maana anatembea kwa mguu.ila jamaa yupo na ni very social
poa man
 
Mara ya mwisho nilimuona 77 na Kina Mjomba Band na ni mtu wa Acrobatic huyu Jamaa Bize.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom