PostGE2025 Biti la RC Chalamila kwa Fr. Kitima ni kutekeleza maagizo ya kumuua kushirikiana na kikosi toka Mwanza?

PostGE2025 Biti la RC Chalamila kwa Fr. Kitima ni kutekeleza maagizo ya kumuua kushirikiana na kikosi toka Mwanza?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
11,570
Reaction score
16,017
GTs,

Nimeona Maria Sarungi akimtahadharisha Fr. Kitima kuwa kuna askari polis wanne wametumwa na Samia kumuua Fr. Kitima, na hii inaendana na biti la RC Chalamila kusema anaunda kikosi kazi kumchunguza Fr. Kitima kauli yake. Maana yake RC chalamila alivyo boga anategemea amuite Fr. Kitima ili amkutanishe na hao wauaji hahaha ila hakika RC na timu yake wameishiwa. Yaani mnataka kuendeleza mauaji hahahaha
 
Hivi inawezekana hawafahamu ni mtu/watu gani wanataka ku-deal nao!? SHAURI YENU
Senene ni mjinga sana. Yaani yeye kaona ni akili eti tunachunguza kauli yake na wanasheria eti wata deal naye. Yaani kaweka mtego ili Fr. Kitima aitwe na hao wanasheria ili akutane na wauaji hahaha so funny
 
  • Thanks
Reactions: vnn
GTs,

Nimeona Maria Sarungi akimtahadharisha Fr. Kitima kuwa kuna askari polis wanne wametumwa na Samia kumuua Fr. Kitima, na hii inaendana na biti la RC Chalamila kusema anaunda kikosi kazi kumchunguza Fr. Kitima kauli yake. Maana yake RC chalamila alivyo boga anategemea amuite Fr. Kitima ili amkutanishe na hao wauaji hahaha ila hakika RC na timu yake wameishiwa. Yaani mnataka kuendeleza mauaji hahahaha

View: https://www.facebook.com/share/v/17h4VAwS36/
 
Senene ni mjinga sana. Yaani yeye kaona ni akili eti tunachunguza kauli yake na wanasheria eti wata deal naye. Yaani kaweka mtego ili Fr. Kitima aitwe na hao wanasheria ili akutane na wauaji hahaha so funny
Kama yote yalifanyikia kwenye mkoa wake anavyodai, ilikuwaje umeme uzimike nd'oshambulio litekelezwe?

Hao wauaji waliwasubiri tanesco hadi watakapokata umeme ndiyo washambulie?

Haya matukio ya kupangwa yanafahamika wazi na kila mtu.

Raia wangapi wametekwa baada ya simu zao kuhackiwa mawasiliano yao?

Siku anatekwa polepole, mbinu hiyo ya kukata umeme si ilitumiwa pia?

Lawama za dr. Kitima zina mashiko na ni za haki.

Jambo hilo wangewauliza hao wauajini waliomshambulia Kitima kwa sababu walidai wamewakamata.

Maana kukata umeme ndiyo mbinu zao kila wanapolenga kuteka watu majumbani.
 
Kwa kweli Leo nimefurahi baada ya Chalamila kupewa jina linafanana naye. Eti 'kichwa senene' 😂😂.
 
Na unamsikiliza Maria kabisa 🤣🤣

Mtaalamu wa kujitumia sms mwenyewe
 
Mbona Fr Kitima anaongea mambo ambayo ya kawaida tena ya kishauri ,inakuwaje SIRIKALI ,MASHEHE UBWABWA wabatoka mapovu?
 
unaweza kumtazama mtu sura na ukajua kuwa hamnazo....ni zero brain kabisa.
 
Chala kalewa na madaraka anajisahau anaropoka kama kala kunde zilizochacha atakuja liwa kiboga uzeeni
 
Back
Top Bottom