Watumishi wa Mungu Toka zamani waliwaonya wafalme walipokengeuka mfano-Sasa kama ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu? Hayo mahojiano yanaanzaje kufika Kanisani kwake wakati hayo ni mambo ya kaisari? Gwajima anapenda mashindano yasiyokuwa na tija, Hakuna sababu yoyote ya kufanya hivyo.
Hamza sitafaidi trends bora kama Gwajiboy ila Mzee Mpili kidogo japo si sana.Unataka ku trend kama Hamza!
Gwajiboy?
Ama mzee mpili?
We umeshachanjwa?Ile mipasho aliyokuwa akiitoa kanisani kwake ndio mambo ya kiimani yale? akaenda mbali mpaka kumfukuza mtu kwenye ukoo wao ndio imani yenu hiyo?
Tumeaswa kujihadhari na manabii wa uongo.
Apoteze ugali,thubutuu!Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni.
Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!
Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!
💪🏽👊🏽👍🏽😅😂Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni.
Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!
Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!
Hapa umewawezea. Nilikuwa napata shida sana kuwatenganisha hawa viumbe wanaomtesa Mh. Rais Mama yetu Samia.Gwajike vs Gwajime vs Job
Nani vile?aaha gwajibo.Hapa umewawezea. Nilikuwa napata shida sana kuwatenganisha hawa viumbe wanaomtesa Mh. Rais Mama yetu Samia.
Gwajike ameufyata wiki hii yote hajajibu tena mapigo.
Gwajime anaendelea kuupiga mwingi. Tumsikilizie kesho ibadani Ufufuo na Uzima Ubungo.
Una uhakika na usemacho or you are just trying to make things up?Jana rafiki yangu ambaye ni kabila moja na mimi na Bishop Gwajima pia amenimegea stori ndogo kuhusu Bishop Gwajima kuwa aligoma kujibu maswali yoyote yaliyohusu na mahubiri yake kanisani kwake akisema hayo ni mambo ya kiimani na hawezi kujibia kitu akiwa bungeni.
Ameendelea kuwaeleza kuwa ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu apewe Mungu, so mambo yake ya kanisani ni kanisani na ya bungeni ni ya bungeni, kwani hawezi kuchangamana na waovu kujadili mambo ya kanisani kwake bungeni. Amesema mkanda mzima wa mahojiano yake ni kesho jumapili kwa mdomo wake mwenyewe!
Hata kama atapoteza ubunge, yeye amesimama na Yehova wake!
Fisi kala FisiHashtag CCM IMFUKUZE GWAJIMA....
#SiempreCCM
Kumbe Magufuli alifariki kabla hajateua mawaziri?Kinachomtesa gwajima ni kukosa uwaziri baada ya kayafa kufa
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Wewe ni yapi maoni yako?Kumbe Magufuli alifariki kabla hajateua mawaziri?
Kama huwezi kuona point yangu basi haya mambo yako juu ya uwezo wako kuyajadili; kaa kushoto.Wewe ni yapi maoni yako?
Kama huwezi kuona point yangu basi haya mambo yako juu ya uwezo wako kuyajadili; kaa kushoto.
Nawe kulia, hapo vipi?Kama huwezi kuona point yangu basi haya mambo yako juu ya uwezo wako kuyajadili; kaa kushoto.