Nakumbuka tarehe hii dada yangu alimaliza chuo kikuu na kufariki tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo 28/09/1998 marehemu aisha msemo. Alifariki tanga na kuzikwa tanga alimaliza chuo mwaka 98, Bsc Eng. Chuo kikuu cha dar es salaam.
Namuombe huko aliko akae mahala pepa peponi
amina