waliuzwa sana wakati fulani ikalazimika tufanye sensa wamebaki wangapi, kuna mgeni hakuamini kama wako kiasilia alipowaona wanaranda maeneo ya Ikulu, huyo hapo ni dume kwani kwa asili ndege sume huvutia kuliko jike tazama mfano wa njiwa majike ndiyo hutongoza dume
kwa kweli, hapo anatoa ishara ya kuvuta mademu, atazunguka sana kuwasumbua si kama binadamu maji mara moja, fika viunga vya City Garden DSM utafaidi vituko vyao, BUT uwe na muda wa kutosha
huyu anapatikana sana milima ya Uluguru anaitwa African Hoopoe, hiyo ni generic names lakini wana scientifi names zao amabpo kutaja inabidi uwe na mafuta ya alizeti mdomoni usije kujing'ata, wale wa Kiaski anaonekana sana baada tu ya stesheni, wana mingo zao nao hawa