Birds, So Cute

ndio leo nasubiri nipewe salary yangu niakfie mbeleeee, Amavumbi hana chake tena anasema anaenda kulima eti....sijui analima nini huko.................
Mwe mpwa hivi leo ndio ile tarehe ya mwisho ngoja nami nikakombe changu kabla sijafa !
 
Last edited by a moderator:
ndio leo nasubiri nipewe salary yangu niakfie mbeleeee, Amavumbi hana chake tena anasema anaenda kulima eti....sijui analima nini huko.................
hapa ni echo methali ya kiswahili isemayo ndugu wakigombana chukua jembe ukalime.............Elli ulikua hujanisoma?
 
sio pied Kingfisher Mkuu?

katika yasnia ya ndege, Pied (kwa generic name) means black and white, ndege wa black and white wanatumia zaidi initial name ya Pied ...................huyu ndiye Pied Kingfisher, nakutumia Pied nyiongine
 
Nimeangalia maana ya Pied ni kitu chenye rangi zaidi ya mbili lakini nimeona mara nyngi kwenye ndege wana refer black nd white species


Huyu ni Pied Crow..........kunguru asilia..........Tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…