Binti yake Raila Odinga aiomba msamaha Tanzania

Binti yake Raila Odinga aiomba msamaha Tanzania

Sitaki kumlaumu huyu Dada...ndivyo alivyo aminishwa..nakujitetea kwake ni sawa na kutafuta namna ya kufunika kombe mwanaharam apite...mimi nailaumu Serikali ya chama cha mapinduzi...kwasababu ya kuwazoesha majirani kujiropokea wapendavyo nao kukaa kimya
Baadhi ya vivutio vyetu nchi jirani wananufaika navyo lkn serikali ya ccm imekaa tu BWEEEE...
 
Sitaki kumlaumu huyu Dada...ndivyo alivyo aminishwa..nakujitetea kwake ni sawa na kutafuta namna ya kufunika kombe mwanaharam apite...mimi nailaumu Serikali ya chama cha mapinduzi...kwasababu ya kuwazoesha majirani kujiropokea wapendavyo nao kukaa kimya
Baadhi ya vivutio vyetu nchi jirani wananufaika navyo lkn serikali ya ccm imekaa tu BWEEEE...
Asante sana mkuu,
 
uyo rosemary odinga mremavu wa fikra na mshenzi wa tabia waziri wa maliasili na utalii mh NCHIMBI tunawaomba vitangazeni vivutio vyetu mali kale na milima pia hao wakenya wasengerema
 
Achana na hawa watu, angekuwa amesema ccm ni ya kenya wangekimbia nguo mkononi kukanusha ila maslahi ya nchi hawana habari ndio maana nchi imejaa walafi wa madaraka kutoka kwenye ccm, wanajali maslahi ya chama kuliko nchi.
Hapa kwa jinsi walivyo na huba na mkulu mwenyewe, ukiwakumbusha tuu kuwa huyo binti ni mtoto wa Rafiki mkubwa wa mzee Pombe watageuza kibao kuwa mnamsakama binti wa watu kwa vile baba yake ni swahiba wa Pombe na kuwa huo ni wivu tuu wa kushindwa uchaguzi
 
Inawekana Tz haikuwa Na mwakilishi, angekuwepo pengine angekanusha na pengine alikuwapo lkn alikuwa hajui, tumelala sana aisee hadi aibu
Huo mkutano ungefanyika ukanda wa maziwa makuu ungesikia mbwembwe nyingi,lkn huko majuu kuna kidhungu
 
Umesema maneno mazuri saaana ila umekosea sehemu moja, umekosea pale ulipompinga Rais wa zamani wa Kenya kuwa Watanzania ni maiti, tumsubiri Yesu aje atufufue, si umeona wakenya wa wameamka!?
Wakenya wenzetu wapo mbali sana,sisi tumebakia kukimbizana na wanasiasa wa vyama vya pinzani
 
Kenya is bulldozing us in tourism and advertise all what we have as theirs,we Tanzanians are quite and take it easy,,,,,,It isn't acceptable we need to do aggressive advertising of our national parks etc
Labda aje waziri kutoka kenya au ulaya
 
Mimi nitakubali ombi la msamaha huo kama atatumia jukwaa hilo hilo alilotumia kupotosha kurekebisha upotoshwaji huo. Vinginevyo...bado namuonda 'adui' namba moja juu ya rasilimali yetu ya Olduvai Gorge.
Adui no moja wa rasilimali zetu ni wale walioiba wanyanya hai na kuwapeleka uarabuni
 
Adui no moja wa rasilimali zetu ni wale walioiba wanyanya hai na kuwapeleka uarabuni
Kwa upande huo uko sahihi...lakini kwa upande wa Olduvai Gorge bado nashikilia msimamo huo wa awali
 
Mi natamani waendelee kufanya hizo mistake ,ili siku waje kujisahau waingie kabisa huko oulduvai waseme ni eneo la kenya,tupate chance ya kuwatandika majinga sana
 
Doesn't sound like an apology though...

Especially if she says it was a Freudian slip.

According to the Merriam-Webster dictionary, a Freudian slip is: a mistake in speech that shows what the speaker is truly thinking.

For example, He meant to say “I'm glad you're here,” but what came out was a Freudian slip: “I'm mad you're here.”

Now, when she claimed that Olduvai Gorge was in Kenya, yes it was a mistake, but, even though it was a mistake is that what she truly thinks or believes?
 
Nini tofauti kati ya Freudian slip na slip of the tongue. ? Nafahamu Sigmund Freud alijaribu kuelewa chanzo cha kueleza ulimi ndio maana kuitwa Freudian slip.'

Freudian slip:
a mistake in speech that shows what the speaker is truly thinking
  • He meant to say “I'm glad you're here,” but what came out was a Freudian slip: “I'm mad you're here.”

Slip of the tongue:
: something that is said by mistake
  • a careless slip of the tongue
 
Kabisa maana imeleta kutofahamu tena ingekuwa vema Kama hata viongozi wa Kenya wakalisemea hili Kama kweli binti aliteleza lakini kuendelea kukaa kimya ni kufurahishwa na alichokifanya na walikusudia hili. Huyu Rose Odinga anaona ni jambo dogo Sana mpaka anaenda kuomba msamaha Instagram as if alilisemea instagram mbaya zaidi kazidi kupotesha kwa kuita lake Nyasa ni lake Malawi halafu anataka tu take easy? Tena aite media kubwa zote duniani asitufanye mapopoma.
Inaelekea huyo Dada amesoma lakini hajaelimika.Tutamfundisha.
 
Back
Top Bottom