Binti yake Raila Odinga aiomba msamaha Tanzania

Binti yake Raila Odinga aiomba msamaha Tanzania

Mkuu wahusika wa escrow waliokamatwa lazima wataachiwa mmoja baada ya mwingine, utamuachaje chenge awe mwenyekiti wa bunge?, Muhongo kuwa waziri wa nishati, tibaijuka kuwa mbunge wakati wote hawa ni wahusika wa escrow? Halafu uwahukumu wengine? Mi nasubiri tu watakapo mteua mwanasheria aliejiuzulu kwa hii kashfa kuwa mbunge. Hii nchi ccm ndio inaifanya iwe maskini jamani.
Tunatumbua Majipu.Vituko vya jogoo kukimbiza kuku
 
Uk
Kuomba msamaha kwenye instagram bado anatudhalilisha sana. Haiwezekani ametamtamka officially alafu anakuja kuomba msamaha rejareja. Alitakiwa kwenye moja ya mikutano kama hii ya east africa aombe msamaha huku baadhi ya hao waandishi wa habari walio kuwepo kwenye mkutano huo wakiwepo

Uko sahihi, we Tanzanians are jusy too polite, kila mmoja aliyechangia hapa anatakiwa kwenda kwenye page ya Ms. Odinga na kumwambia uongo wake ulikuwa wa kijinga, na wa kukera sana na siyo watu wote ni wajinga, japo inaonekana Watanzania waliokuwepo pale walikosa Utanzania. We have to speak for US.
 
Mwanawe aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya, Raila Odinga, Rosemary, amekiri kuwa alikosea alipodai kuwa bonde la Olduvai Gorge liko Kenya ilhali liko Tanzania.

''Bonde la Oldupai ama Olduvai liko Tanzania, nimekubali kuwa nilikosea nilipokuwa nikihutubia mkutano wa viongozi wa vijana kutoka kote duniani nikiwa New York Marekani(International Young Leaders Assembly).

''Nahisi kama ambaye nimewakosea ndugu zangu kutoka Tanzania''.

''Nia yangu ilikuwa ni kusema kuwa nilipokuwa mdogo nikienda shuleni nilifunzwa kuwa fuvu la mtu wa kale lilipatikana Olorgesaiile eneo la Kajiado
Jaguar : Nisemeje,nawaombeni radhi Watanzania.

Olduvai Gorge iko salama wala haijanyakuliwa na kenya

'Katika ile hali ya undugu naomba kuwanyoshea mkono wa amani kwa sababu mwisho wa siku Afrika mashariki ndio kitovu cha ubinadamu'' alisema bi Odinga kupitia mtandao wake wa Instagram.

Tamko lake kuhusiana na bonde hilo la Olduvai (Oldupai) lililoko Tanzania lilihusiana na mada ya siku hiyo
Jaguar : cha ubinadamu'' alisema bi Odinga

Olduvai ndiko kulikopatikana vifaa vilivyotumika na watangulizi wa binadamu yapata miaka milioni moja na laki sita iliyopita (milioni 1.6)

Bi Rosemary aliomba radhi baada ya kuzomewa na maelfu ya watu kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook Instagram na Twitter wakidai aliwapotosha hadhira yake na haswa ulimwengu kwa kusema eti Olduvai ipo Kenya.

Mbunge Zitto Kabwe alikuwa amechangia mada kwa kusema kuwa Tanzania sharti izinadi vivutio vyake vya kitalii ilikuzima dhana potovu.

Aidha alidai kuwa watu wanafikiria kuwa mlima kilimanjaro uko Kenya ilahali ukweli halisi upo Tanzania sawa na mwanamuziki nyota Diamond Platnumz ambaye ni Mtanzania.

====================
Good evening! I have just been reminded of an incident which occurred while attending the IYLA conference in New York, 7 months ago. There was a Freudian slip. Apparently, our brothers and sisters from Tanzania are alarmed that I have grabbed their Olduvai Gorge. In Kenya, we equally have a beautiful prehistoric site named Olorgesailie along the way to Magadi. So, poleni sana my Tanzanian brothers and sisters, your Olduvai Gorge is safe. That being said, I would like to share the entire speech. It highlighted my efforts, which mainly focus on bringing people together. Have a fabulous evening and stay blessed


My take: Binafsi naamini bado kuna watanzania wenyewe wanaamini mlima Kilimanjaro Olduvai gorge ziko kenya kwakuwa Serikali ya Tanzania haikuwahi kufanya juhudi zozote kutangaza vivutio vyake ,unlike kenya tunaona matangazo ya kenya airways na jiji la mombasa BBC na CNN, Kenya inatumia uzembe wa Tanzania kujinufaisha na sidhani kama ni kosa kwani kuna mtu yuko tayari afe na njaa ilhali chakula anakiona?

Nguvu inayotumiwa na Watanzania kutangaza vivutio vyenu ni ndogo mnooo ukilinganisha na kenya,soon tutasema mikumi iko kenya, halafu tutaappologize kimyakimya huku tayari ulimwengu ukiamini mikumi iko Kenya.

Nisieleweke vibaya jamani ila soon tukipata platform ya kuaddres kimataifa hatutakata tamaa kusema Mikumi iko Kenya manake najua hizi nafasi Watanzania hawazipatagi sijui kwanini tunazipataga sie tuu

Thank u

falcon mombasa
Yaani huyu binti hapo amezidi kutukosea adabu na hatutokuwa tayari kumuelewa yaani atangaze akiwa kwenye mkutano yeye atuombe radhi kwenye instagram yake hii ni zaidi ya dharau ni bora angeendelea kuwa kimya na alichosema.
 
Mbona hao mashabiki wa CCM wameanza kupotosha kuwa aliyesababisha ni Nasary, kwa kukaa kimya wakati Mama Odinga anapotosha, ilhali anajua ni uongo. Kumbe ukweli ni kuwa hata huyo Nasari hakuwapo waliokuwepo walipelekwa kwa style ileile ya huyu mwenzetu wakaishia kupiga selfie tu za Instagram na FB. Kifupi wanajaribu kumtwisha Nassari mzigo wa Bodi ya Utalii au Kina Nyalandu walioenda kupiga picha na warembo kwa kodi zetu wakidai ndio kutangaza utalii. Chama kinachotawala kinafanya kila jambo la mhimu siasa tena za kipuuuzi matokeo yake ndio haya. KQ wanatumia Mt Kilimanjaro kama brand name kwenye ndege zake mamlaka zipo kimyaaaa.
 
Mwanawe aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya, Raila Odinga, Rosemary, amekiri kuwa alikosea alipodai kuwa bonde la Olduvai Gorge liko Kenya ilhali liko Tanzania.

''Bonde la Oldupai ama Olduvai liko Tanzania, nimekubali kuwa nilikosea nilipokuwa nikihutubia mkutano wa viongozi wa vijana kutoka kote duniani nikiwa New York Marekani(International Young Leaders Assembly).

''Nahisi kama ambaye nimewakosea ndugu zangu kutoka Tanzania''.

''Nia yangu ilikuwa ni kusema kuwa nilipokuwa mdogo nikienda shuleni nilifunzwa kuwa fuvu la mtu wa kale lilipatikana Olorgesaiile eneo la Kajiado
Jaguar : Nisemeje,nawaombeni radhi Watanzania.

Olduvai Gorge iko salama wala haijanyakuliwa na kenya

'Katika ile hali ya undugu naomba kuwanyoshea mkono wa amani kwa sababu mwisho wa siku Afrika mashariki ndio kitovu cha ubinadamu'' alisema bi Odinga kupitia mtandao wake wa Instagram.

Tamko lake kuhusiana na bonde hilo la Olduvai (Oldupai) lililoko Tanzania lilihusiana na mada ya siku hiyo
Jaguar : cha ubinadamu'' alisema bi Odinga

Olduvai ndiko kulikopatikana vifaa vilivyotumika na watangulizi wa binadamu yapata miaka milioni moja na laki sita iliyopita (milioni 1.6)

Bi Rosemary aliomba radhi baada ya kuzomewa na maelfu ya watu kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook Instagram na Twitter wakidai aliwapotosha hadhira yake na haswa ulimwengu kwa kusema eti Olduvai ipo Kenya.

Mbunge Zitto Kabwe alikuwa amechangia mada kwa kusema kuwa Tanzania sharti izinadi vivutio vyake vya kitalii ilikuzima dhana potovu.

Aidha alidai kuwa watu wanafikiria kuwa mlima kilimanjaro uko Kenya ilahali ukweli halisi upo Tanzania sawa na mwanamuziki nyota Diamond Platnumz ambaye ni Mtanzania.

====================
Good evening! I have just been reminded of an incident which occurred while attending the IYLA conference in New York, 7 months ago. There was a Freudian slip. Apparently, our brothers and sisters from Tanzania are alarmed that I have grabbed their Olduvai Gorge. In Kenya, we equally have a beautiful prehistoric site named Olorgesailie along the way to Magadi. So, poleni sana my Tanzanian brothers and sisters, your Olduvai Gorge is safe. That being said, I would like to share the entire speech. It highlighted my efforts, which mainly focus on bringing people together. Have a fabulous evening and stay blessed


My take: Binafsi naamini bado kuna watanzania wenyewe wanaamini mlima Kilimanjaro Olduvai gorge ziko kenya kwakuwa Serikali ya Tanzania haikuwahi kufanya juhudi zozote kutangaza vivutio vyake ,unlike kenya tunaona matangazo ya kenya airways na jiji la mombasa BBC na CNN, Kenya inatumia uzembe wa Tanzania kujinufaisha na sidhani kama ni kosa kwani kuna mtu yuko tayari afe na njaa ilhali chakula anakiona?

Nguvu inayotumiwa na Watanzania kutangaza vivutio vyenu ni ndogo mnooo ukilinganisha na kenya,soon tutasema mikumi iko kenya, halafu tutaappologize kimyakimya huku tayari ulimwengu ukiamini mikumi iko Kenya.

Nisieleweke vibaya jamani ila soon tukipata platform ya kuaddres kimataifa hatutakata tamaa kusema Mikumi iko Kenya manake najua hizi nafasi Watanzania hawazipatagi sijui kwanini tunazipataga sie tuu

Thank u

falcon mombasa
Kulikuwa hakuna haja ya kuomba radhi. Kwa lipi baya alilolitamka ambalo viongozi wa Tanganyika hawajawahi kuyasema kwa nchi za wenzao. Mbona nyie mnasema Zanzibar si nchi wakati Tanzani ni muungano wa nchi mbili huru, Tanganyika na Zanzibar . Mnasema Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika jambo ambalo si la kweli
 
Haya yote yanatokana Na uongozi mbovu wa serikali ya CCM, badala ya kufanya vya maana wako bize Na upinzani, chama na serikali vya ovyo sana kuwahi tokea duniani


Bado upo kwenye siasa!! Amka ndugu huu mwaka 2016 utadhalaulika
 
Well, i guess the lady meant what she said..........These other apologies are but meaningless excuses!!!!
 
Kuomba msamaha kwenye instagram bado anatudhalilisha sana. Haiwezekani ametamtamka officially alafu anakuja kuomba msamaha rejareja. Alitakiwa kwenye moja ya mikutano kama hii ya east africa aombe msamaha huku baadhi ya hao waandishi wa habari walio kuwepo kwenye mkutano huo wakiwepo
Alijua anachokifanya!
Hata kama ataomba radhi publicly bado dhamira yake ameutekeleza ya kuhamasisha mamilioni ya vijana possibly na vyuo vyao kuplan trip to Kenya!
Amezungumza ktk youth conference in New York, hata akiomba radhi ktk KBC au Citizen TV bado atakuwa ana target local viewers (wa East Africa)!
She don't have to apologise labda waziri wao ili tuwa-hold responsible na adverts zao nyingine kama Mt. Kilimanjaro etc, sasa iwe ni nchi kwa nchi, lkn sio Hawa watoto wao!
 
Kulikuwa hakuna haja ya kuomba radhi. Kwa lipi baya alilolitamka ambalo viongozi wa Tanganyika hawajawahi kuyasema kwa nchi za wenzao. Mbona nyie mnasema Zanzibar si nchi wakati Tanzani ni muungano wa nchi mbili huru, Tanganyika na Zanzibar . Mnasema Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika jambo ambalo si la kweli
We nawe umeongea pumba kabisa,kweli znz hampendi shule nimeamini
 
Haya yote yanatokana Na uongozi mbovu wa serikali ya CCM, badala ya kufanya vya maana wako bize Na upinzani, chama na serikali vya ovyo sana kuwahi tokea duniani
Kuna siku utamkuta mkeo/mmeo anatoka guest halafu utakuja kutuambia hapa ni uzembe wa serikali ya CCM
 
Nampenda huyo bint nizae nae maaana nadhani anataka azae na watanzania ili aunge undugu kabisa
 
kimfumo binti raila yuko sahihi, aliiona fursa, akagundua wenye nacho wamelala na hata akiwaibia hawatajua. mpaka sasa ameshinda gemu; umewasikia wazee wa hapa kazi tu wakisema lolote katika hili? wako wanafikiria namna ya kushin da umeya na uwenyekiti wa halmashauri maeneo ambayo upinzani una wajumbe wengi wa baraza la madiwani. haya ndo tunayoweza
 
Back
Top Bottom