Binti yake Raila Odinga aiomba msamaha Tanzania

Inawekana Tz haikuwa Na mwakilishi, angekuwepo pengine angekanusha na pengine alikuwapo lkn alikuwa hajui, tumelala sana aisee hadi aibu
 
Umesema maneno mazuri saaana ila umekosea sehemu moja, umekosea pale ulipompinga Rais wa zamani wa Kenya kuwa Watanzania ni maiti, tumsubiri Yesu aje atufufue, si umeona wakenya wa wameamka!?
 
Tulishaambiwa watz ni maiti zinazotembea Na kwa matendo yetu tunathibitisha hilo,
 
Kwani kenyata si yupo Arusha kwenye mkutano?
 


Kenya is bulldozing us in tourism and advertise all what we have as theirs,we Tanzanians are quite and take it easy,,,,,,It isn't acceptable we need to do aggressive advertising of our national parks etc
 
Mimi nitakubali ombi la msamaha huo kama atatumia jukwaa hilo hilo alilotumia kupotosha kurekebisha upotoshwaji huo. Vinginevyo...bado namuonda 'adui' namba moja juu ya rasilimali yetu ya Olduvai Gorge.
 
Sasa wewe mikoa ya Arusha ndiko kunapatikana hivyo vivutio
Na Nyie CDM mnaishikiria mikoa hiyo
Mmefanya lipi kuitangaza!!
Kazi yenu ni kwenda ulaya Na totoz kwa kisingizio cha kutangaza utalii, huo utalii mnoenda kuufanya Na totoz ni wa aina gani magamba nyie
 
Sasa wewe mikoa ya Arusha ndiko kunapatikana hivyo vivutio
Na Nyie CDM mnaishikiria mikoa hiyo
Mmefanya lipi kuitangaza!!
Arusha ndio inapewa fungu la kutangaza utalii wa nchi? Tuliposema tunataka nchi iendeshwe kwa majimbo tuliona mabali tulijua serikali dhaifu ya ccm imeshindwa kuongoza nchi, lakini kwa ulafi wenu mkakataa na kusema nchi haiendeshwi hivyo, leo unatoka wapi kuhoji mkoa kuendesha shughuli za wizara? wapeni kazi ya kutangaza vivutio ASKARI maana wamegeuzwa mazombie wa ccm.
 
Inakera sana hawa jamaa inabidi waelezwe haya mambo ya kutaja vivutio na vitu vingine kuwa vipo kwao si mara ya kwanza, itafikia wakati Watanzania tutashindwa kuvumilia. Kwanza hapo hajaomba msamaha anatakiwa aite waandishi wa habari na afute kauli yake kwa sababu alikusudia kutamka hayo.
 
Naunga mkono hoja mkuu angoja mkutano mwingine aombe radhi hiyo haitoshi kabisa
 
Mambo kama haya Ukawa wanachangia kwa kuhamasisha wananchi waandamane badala ya kufanya shughuli za kimaendeleo
 
Haya yote yanatokana Na uongozi mbovu wa serikali ya CCM, badala ya kufanya vya maana wako bize Na upinzani, chama na serikali vya ovyo sana kuwahi tokea duniani
Wewe umefanya nini? Kama si kukalia umbeya tu hapa jf. Nyumbu bwana bure kabisa. Jiulize wewe kwanza.
 
kama ameomba msamaa basi nimemsamahe kwa sharti kwamba aolewe na mtoto wa magufuri kwa kuwa anaipenda sana tanzania eheee heee
 
Ukweli huu hapa wajameni.
 

Attachments

  • OLDUVAI GORGE.png
    261.5 KB · Views: 34
Wewe umefanya nini? Kama si kukalia umbeya tu hapa jf. Nyumbu bwana bure kabisa. Jiulize wewe kwanza.
Taratibu acha hasira, kupitia hili tunawataka msimame kwenye nafasi nzenu, mnatia aibu hadi tuliambiwa maiti zinazotembea, mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…