falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
Mkuu watanzania hawakuelewa kiingereza hivyo walitoka patupu,tusiwalaumu walioenda kutuwakilishaSpeech yake aliitoa miezi Saba iliyopita mkuu, ningekua mwandishi wa habari ningewatafuta mpaka niwapate Watanzania waliotuwakilisha siku hiyo
Mkuu its too late ulimwengu mzima wanajua iko kenya sasaNja aliyosemea makosa yake, ndo anapaswa akutumia njia hiyohiyo kuomba msamaha. Na sio kwenye vi-instagram
Mkuu jikite tu kwenye kiswahili hiki kiingereza chako cha kuungaunga ni msiba.Offcourse she did
Ulimwengu mzima wa wapi unadhani kila mtu ni bwe'ge kama wewe kashikiwa akili na huyo mwanamke.Mkuu its too late ulimwengu mzima wanajua iko kenya sasa
Sasa hata kiswahili chenyewe hujui,bro kubali mabadilikoMkuu jikite tu kwenye kiswahili hiki kiingereza chako cha kuungaunga ni msiba.
Teh teh teh!!Sasa hata kiswahili chenyewe hujui,bro kubali mabadiliko
Tofauti ya Kenya na Tanzania ni kwamba, Kenya wanajitambua, Watanzania hatujitambui. Ukitaka kuamini hili subiri matokeo ya uchaguzi Zanzibar, CCM imebaka Demokrasia na bado tulivyomatahira tutaichagua CCM tukipumbazwa na wimbo wa amani.Umeona yaani ukisoma kiingereza cha ameongea kinafiki wala hajaomba msamaha. Wakenya wanatuchukulia poa sana hakuna cha brother wala sisters hapa wanafiki wakubwa na siwapendi.
kwa ujumla ni kwamba tamko lake limewekwa kwenye kumbukumnu muhimu za hao wazungu kwamba Oldivai ipo kenya sasa kazi kwetu kikanusha.
Tuna Rasilimali nyingi saaaana, na bado tunapiga kelele kwamba mtu kutangaza bonde lipo Kenya, tunapiga kelele utadhani hilo bonde limehamishwa physically.Mkuu hiki chama cha mazombie kina deni kubwa mno kwa Mungu, kwanza kabisa kudumaza akili za watu hata wasijielewe Na kuelewa nn kinajiri kibaya ama kizuri, badala yake kila wafanyiwacho kwao ni sawa tu, mapfrofesa, ma injinia, madokta hawajui nafasi zao kazi yao ni kugonga meza tu ili mradi wakuze matumbo yao, wajipendekeze wapate vyeo, Naichukia serikali ya CCM
Kuomba msamaha kwenye instagram bado anatudhalilisha sana. Haiwezekani ametamtamka officially alafu anakuja kuomba msamaha rejareja. Alitakiwa kwenye moja ya mikutano kama hii ya east africa aombe msamaha huku baadhi ya hao waandishi wa habari walio kuwepo kwenye mkutano huo wakiwepo
Sisi wenyewe tunajidhahaki, atashindwa kutudhihaki? Kwa utajiri tuliopewa Watanzania na maisha tunayoishi, mtu akitudhihaki wala hakosei. Mungu atupe nini Watanzania? Tunapiga domo kisa maneno ya huyo binti, mbona hatujapiga domo dunia nzima itusikie kuhusu EPA, ESCROW, ZANZIBAR, RICHMOND n.kMbona amejibu kwa dhihaka namna hii?
Ngoja siku tuwe serious ndo tutafanya haya, na mpaka tujitambue wenzetu wako mbali saaana. Wakenya wametupiga gap kila eneo, mpaka michezo.Yeah Kazi kwetu Na serikali yetu tukufu kuifanya dunia ijue ukweli kuhusu mengi walokwisha jitangazia, ndio tutumie polisi Na jeshi Na pesa pia kujingazia Mali zetu
Nakubaliana na usemacho kwa 100% japo kuna wehu watapinga, hii nchi ni mkosi. Bandari pekee wangepewa Rwanda wangekuwa mbali mno, lakini angalia sisi madudu tufanyayo juu ya Bandari.Hiyo ndiyo serikali yetu mkuu,kuzaliwa tz ni mkosi