Binti yake Raila Odinga aiomba msamaha Tanzania

Binti yake Raila Odinga aiomba msamaha Tanzania

Serikali ya CCM sijui imekukosea nini, ameongea bint wa Raila wewe unahamishia ugomvi kwa serikali kwanini usijitwishe mabomu ukamvaa wewe katika platform zingine. Halafu mwenzio ameomba msamaha kwamba alikosea sasa wewe bado unataka kugeuza kichaka kwa stress zako.
Binti Odinga yupo sahihi wala sina neno juu yake, serikali ya CCM imetukosea sana watanzania bado inaendelea kutufanyia figisufigisu, serikali ya CCM ingalikuwa iko macho km kupekua Nyumba za wabunge Leo Hii tusingekuwa tunaongelea hili, binti Odinga katumia fursa baada ya kujua serikali ya CCM imelala hata watu wake wanakoroma,
 
Hakuna msamaha ulioombwa hapo na hicho kigagula binti wa Odinga. Alichojaribu kufanya ni ku-justify upumbavu wake. Akitaka kuomba radhi Watanzania aende kwenye KBC, CITIZEN etc....till then she's just a fraud and a pathetic Kenyan like many others.
 
Ajitokeze pia hadharani akili huo ujinga wake maana aliongea mchana kweupe.
 
Mtoto wa nyang'au! Hana haki ya kusema hivyo, hata kama sisi tumevikalia tu. Yaani mtu ajimilikishe mali zako kwa kuwa wewe hujazitafutia soko?! Mitanzania mingine kama imelogwa! Sawa tunahitaji kuvifanyia kazi, lakini si kusema bora wao wa vitumie maana wao wana njaa .....%%$$£"!

Halafu hiyo apology yake ni ni dhihaka, bado anasitisitiza kilicho gundulika Olduvai (masalia ya binadamu wa kwanza) kilikuwa kenya eti Olorgessaile! Akafie mbali na ulafi wake
 
Ajitokeze pia hadharani akili huo ujinga wake maana aliongea mchana kweupe.
1456890725708.jpg
 
Bullshit! She based her next statement on the supposed "Freudian slip". If in fact she had made an honest mistake, when she went onto finish her statement about how all those in the audience were by default Kenyan because supposedly that is where you find the cradle of civilization, she would have realized that she had made a mistake. This was clearly a prepared speech and she would have practiced it prior to delivering it. So either she was grossly misinformed or she unashamedly chose to ignore facts so that she can serve up a cliche.

True.
 
Kuomba msamaha kwenye instagram bado anatudhalilisha sana. Haiwezekani ametamtamka officially alafu anakuja kuomba msamaha rejareja. Alitakiwa kwenye moja ya mikutano kama hii ya east africa aombe msamaha huku baadhi ya hao waandishi wa habari walio kuwepo kwenye mkutano huo wakiwepo

Halafu anasema: ''Nahisi kama ambaye nimewakosea ndugu zangu kutoka Tanzania''.
 
Huyu anatakiwa ajitokeze kwa media tena za kimataifa na kutuomba msamaha kwa udanganyifu alioufanya tena kwa makusudi kabisa
 
Huyu anatakiwa ajitokeze kwa media tena za kimataifa na kutuomba msamaha kwa udanganyifu alioufanya tena kwa makusudi kabisa
Hata instagram ni ya kimataifa so ameshamaliza kuomba msamaha
 
Mtoto wa nyang'au! Hana haki ya kusema hivyo, hata kama sisi tumevikalia tu. Yaani mtu ajimilikishe mali zako kwa kuwa wewe hujazitafutia soko?! Mitanzania mingine kama imelogwa! Sawa tunahitaji kuvifanyia kazi, lakini si kusema bora wao wa vitumie maana wao wana njaa .....%%$$£"!

Halafu hiyo apology yake ni ni dhihaka, bado anasitisitiza kilicho gundulika Olduvai (masalia ya binadamu wa kwanza) kilikuwa kenya eti Olorgessaile! Akafie mbali na ulafi wake
Sasa na nyie mtafute platfom kama mtasikilizwa na kiingereza chenu
 
Tanzania ipo Instagram na Facebook? She spoke officially and she is supposed to apologize officially. Siyo vinginevyo. Awaandikie barua waandaji wa kongamano lile na kutoa ufafanuzi kwamba aliidanganya dunia. Kwani aliongea instagram? Mbn anatujibu instagram?
Alafu hapo yenyewe hajaomba msamaha. Katukejeli. Ni wapi kwenye hyo post ake imeandikwa "I apologize for what I did?"
Pia,hakutakiwa kutuomba sisi msamaha,bali dunia nzima kwa uongo wake.
Hapo hakuna maana yeyote na serikali itakuwa pumbavu endapo itaridhia eti kwa post ya Instagram.
 
Back
Top Bottom