Binti yake Raila Odinga aiomba msamaha Tanzania

Binti Odinga yupo sahihi wala sina neno juu yake, serikali ya CCM imetukosea sana watanzania bado inaendelea kutufanyia figisufigisu, serikali ya CCM ingalikuwa iko macho km kupekua Nyumba za wabunge Leo Hii tusingekuwa tunaongelea hili, binti Odinga katumia fursa baada ya kujua serikali ya CCM imelala hata watu wake wanakoroma,
 
Hakuna msamaha ulioombwa hapo na hicho kigagula binti wa Odinga. Alichojaribu kufanya ni ku-justify upumbavu wake. Akitaka kuomba radhi Watanzania aende kwenye KBC, CITIZEN etc....till then she's just a fraud and a pathetic Kenyan like many others.
 
Ajitokeze pia hadharani akili huo ujinga wake maana aliongea mchana kweupe.
 
Mtoto wa nyang'au! Hana haki ya kusema hivyo, hata kama sisi tumevikalia tu. Yaani mtu ajimilikishe mali zako kwa kuwa wewe hujazitafutia soko?! Mitanzania mingine kama imelogwa! Sawa tunahitaji kuvifanyia kazi, lakini si kusema bora wao wa vitumie maana wao wana njaa .....%%$$£"!

Halafu hiyo apology yake ni ni dhihaka, bado anasitisitiza kilicho gundulika Olduvai (masalia ya binadamu wa kwanza) kilikuwa kenya eti Olorgessaile! Akafie mbali na ulafi wake
 

True.
 

Halafu anasema: ''Nahisi kama ambaye nimewakosea ndugu zangu kutoka Tanzania''.
 
Huyu anatakiwa ajitokeze kwa media tena za kimataifa na kutuomba msamaha kwa udanganyifu alioufanya tena kwa makusudi kabisa
 
Huyu anatakiwa ajitokeze kwa media tena za kimataifa na kutuomba msamaha kwa udanganyifu alioufanya tena kwa makusudi kabisa
Hata instagram ni ya kimataifa so ameshamaliza kuomba msamaha
 
Sasa na nyie mtafute platfom kama mtasikilizwa na kiingereza chenu
 
Tanzania ipo Instagram na Facebook? She spoke officially and she is supposed to apologize officially. Siyo vinginevyo. Awaandikie barua waandaji wa kongamano lile na kutoa ufafanuzi kwamba aliidanganya dunia. Kwani aliongea instagram? Mbn anatujibu instagram?
Alafu hapo yenyewe hajaomba msamaha. Katukejeli. Ni wapi kwenye hyo post ake imeandikwa "I apologize for what I did?"
Pia,hakutakiwa kutuomba sisi msamaha,bali dunia nzima kwa uongo wake.
Hapo hakuna maana yeyote na serikali itakuwa pumbavu endapo itaridhia eti kwa post ya Instagram.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…