Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Binti wa Rostam Aziz
Binti mwingine wa Rostam anayesoma South Africa Ramla Rostam Aziz...
Soma attached PDF hapo for Academic fees and other associated costs in Swiss Franc
nami sielewi ishu ni nini pia .....kwani hawa ni (Rostam na Binti yake) Watanzania eti!?Hapa ishu ni nini?
nami sielewi ishu ni nini pia .....kwani hawa ni (Rostam na Binti yake) Watanzania eti!?
Very guuud
Atakuwa anapata elimu nzuri aje kusadia TAIFA LAKE TAnzania
Binti wa Rostam Aziz
Ama kweli ukila na kipofu usimshike mkono, fisadi namba moja nchini kwa kweli anafaida sana hela zetu walala hoi maana binti yake anasoma shule moja binafsi na ghali sana huko Swiss amabapo ada yake kwa mwaka ni dola 200,000 na yupo O-level hebu fikiria kwa miaka minne RA atatumi kama dola 1m ghama jumla ya gharama ya kusomesha binti yake huyo. Shule yenyewe inaitwa Lo Rosey ni miongoni mwa shule ghali duniani na hata ukiangali kwenye mtandao wa Forbes shule ghali sana kwa amerika wanalipa around 50,000-80,000US$ kwa mwaka sasa hiii ya Swiss ni mara tatu yake kweli fedha ya ufisadi ni tamu sana....
Very guuud
Atakuwa anapata elimu nzuri aje kusadia TAIFA LAKE TAnzania
Kwani mtu kutumia hela zake kumsomesha mwanaye kuna shida gani?
Huo niwivu tu,nawewe kama unahela kamsomeshe wakwako hata kwa dola mil10 hakuna atakae kuzuia,kama huna mpeleke mwanao shule za kata kila ndege anaruka kwa ubawa wake.