Smily Riz1 na huyu binti daktari sio watoto wa Salma mama yao ni mwingine,Salma watoto wake ni wadogo sijui kama umewaona vivulana flani huwa wanatokea kwenye picha mara moja moja kama miaka kumi na kitu hata 16 sidhani wamefika.
Kumbe ana watoto wa kike wakubwa kabisa wanao fanana na yule binti wa Zakhia Meghj.
She has a fresh young innocent looking face
mungu akaepushie kuridhi head ya father bora karithi ya babu yakeNimekapenda, naomba kawe hakajarithi head ya father...
Wadau je kuna mtoto mwingine anaitwa Miraji Kikwete,vp nae ni mama m1 na riz1 na Dr.Salma?
MashaAllah, halafu anaonesha ni kichwa kama baba'ke.
Mbona hamna kitu hapo???Sijajua watu uzuri wanaangalia nini!
mabinti wa museveni je???
![]()