Binti wa Mkuu wa kaya

Huyo cha mdoli anakifaa kipo pale laurate international school zanzibar,alicheza rafu enzi zake na dada flani,utadhani wamepiga copy na mkuu,ila ni mkali kuliko huyu,tembeleeni pale chukwani zanzibar
 
enzi za mwl. ikulu ilikuwa kama nyumba nyingine tu, tena wengine walipazidi. Fedha nyingi zilielekezwa kwenye miradi ya kuinua watu. Leo mambo yamebadilika, IKULU ni sehemu ya anasa, hata kama utakuwa na uglyface, baada ya mda kidogo utakuwa safi na mvuto fulani unaoletwa na ishara ya kuridhika tu. usijifanye hujui haya

Hivi Anna Mkapa alibadilika eh? Kabla ya hapo alikuwaje?
 
Binti mkubwa wa mkuu ni Daktari Salima na sio mtoto wa Salma, Huyu mama yake ni yupi?
...


Mkuu kama huijui hiyo familia kaa kimya.. huyo ni Binti wa Salma Kikwete....na yule dakatari wa meno anaitwa Salama .... ni Kwa Mke wake wa Kwanza..Salma ana mtoto mmoja tu wa Kike...chek chuma hiko mixer ****** na mmakonde..yaani Ufundi mtupu hapo
 
Ha ha ha jamani watu mnatuvunja mbavu,she is cute ila JK mbona huwa hana noma ni makubaliano binafsi na binti tu.
 
Kwa hisani ya michuzi naomba kuweka picha ya binti wa mkuu wa kaya yetu. Kwa kweli nimempenda ila sijapata jina na contacts zake jamani. . Sijajua mkuu alikuwa anasema nini hapo
d10.jpg
Kaka unataka kula bingo nini ,haya bana nakutakia kila la kheri
 
Huyo cha mdoli anakifaa kipo pale laurate international school zanzibar,alicheza rafu enzi zake na dada flani,utadhani wamepiga copy na mkuu,ila ni mkali kuliko huyu,tembeleeni pale chukwani zanzibar
Du hii ndio JF dare for more
 
...Mkuu kama huijui hiyo familia kaa kimya.. huyo ni Binti wa Salma Kikwete....na yule dakatari wa meno anaitwa Salama .... ni Kwa Mke wake wa Kwanza..Salma ana mtoto mmoja tu wa Kike...chek chuma hiko mixer ****** na mmakonde..yaani Ufundi mtupu hapo
Hehe watu wachokozi jamani loh mbavu zangu wee zinauma
 
Siyo ufuasi wa ccm tu Jaluo, unatakiwa vile vile uwe wa SWALA TANO. Kama huna kanzu nikuazime

Naomba BAKWATA watolee tamko mbona hajavaa baibui? Inamaa huyu binti dini tofauti na baba yake na mama yake?
 
Kwa hisani ya michuzi naomba kuweka picha ya binti wa mkuu wa kaya yetu. Kwa kweli nimempenda ila sijapata jina na contacts

zake jamani. . Sijajua mkuu alikuwa anasema nini hapo
d10.jpg
Naona Mwana mfalme anaomba angekuwa na uwezo angerudi kwenye ujana
 
...


Mkuu kama huijui hiyo familia kaa kimya.. huyo ni Binti wa Salma Kikwete....na yule dakatari wa meno anaitwa Salama .... ni Kwa Mke wake wa Kwanza..Salma ana mtoto mmoja tu wa Kike...chek chuma hiko mixer ****** na mmakonde..yaani Ufundi mtupu hapo

Wewe unaeijua hiyo familia vizuri imekusaidia nini, hiyo familia inaijua familia yako?
 
Back
Top Bottom