Binti wa Kireno kaondoka na akili zangu kwenye foleni ya chakula cha bure Jijini Geneva (Switzerland)

duuh we jamaa kweli starehe unazizingatia sites zote unazijua hahahahaaa
ila kwakweli kwenye ilo suala hatutofautiani sana kiongozi we kula bata tu bwanaa
 
Mkuu Geneva nilifika hapo mwaka 2017,migros ni supermarket kubwa mno,haikuwa rahisi kukaa Geneva six months kwa special UN task,nilipenda mno kuishi huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…