Niitie mods waambie nataka ban ya mileleme mbona unatukana hivo
uko Bern ukanda wa kule milimani mkuu? halafu huko mnaongea kijerumani sana kitu ambacho mimi kinanipa shidaMkuu kwa kipindi hiki ambacho kampuni Yenu iko kwenye karantine. Njoo bern tufanye kazi za ufundi mambo yakiwa vizuri unaludi kazini kiroho Safi
Sent using Jamii Forums mobile app
saa 2:13 mchanaili kukujibu swali swali niambie huko sasa hivi ni saa ngapi ili nikuambie mda wa huku ulinganishe mwenyewe?
daah shukrani mkuu kumbe ni kama hapo RWANDA TU utofauti wa saahuku ni saa 1314PM yaani saa 7 na dk 14 mchana
linganisha mwenyewe inaonekana hatujatofautiana sana
Wamekomaa vigimbi utadhani ng'ombe wa kilimohupaswi kujilaumu mkuu hao wa nyumbani ni dhahabu
kumbe nikienda rwanda nakuwa niko sawa na switzerland kwenye suala la mda, ndio najua leo hilidaah shukrani mkuu kumbe ni kama hapo RWANDA TU utofauti wa saa
hii ina maana mda wa uswisi ni sawa na RWANDA