Parabora
JF-Expert Member
- Jul 6, 2019
- 1,504
- 2,180
Mwambie watanzania wote tumempitisha kuwa shemeji yetu.
Siku ukipiga, kandamiza kweli kweli mpaka akamsimulie kaka yake RONALDO
wewe huyo wa france ulimpa mimba mkuuNdugu yangu hiyo supermarket niliwahi kufanya shopping hapo kitambo 2017 nikiwa na mtoto mkali wa kifaransa ni bonge la duka si mchezo
na huyo dada tia mimba kabisa ndugu tuwe na damu nyingi huko ulaya
mkuu sijakuelewa nikupe ili umtongoze au nikutongozee?Mkuu nilikuomba unipe namba ya mtoto mmoja wa huko majuu naona kimya.
Wabongo zetu kupigiana pasi,au umesahau asili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sio huyo,nipe mwingine yoyote tu wa huko.mkuu sijakuelewa nikupe ili umtongoze au nikutongozee?
croatia sijawahi fika mkuu ila nina uhakika utakuwepo ulaya iko mbali sana kimuundo mbinuMkuu unani-inspire sana na hizo stori zako, corona pandemic ikitulia nna safari ya kwenda croatia sasa nlikua nataka nikutafute kama hutojali nataka unitembeze viwanja vya huko uswizini ila nlikua nataka kwanza kujua umbali wa kutoka croatia kuja huko, je kuna usafiri wa kawaida toka croatia kuja huko ukiachana na ndege? nimecheki ramani ya dunia nimeona kuna meritime border ya kuibukia italy afu ndo naweza kutimba huko
polisi? sijakuelewa mkuuJipange vizuri mkuu kuna mmoja alipiga simu polis waje wamuokoe. Kama nahuko kuna karanga na mihogo mibichi kula sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, nimecheki vizuri hapa kumbe kuna nchi kama tatu unazipita ndo ufike huko...itakua ni mbali naonacroatia sijawahi fika mkuu ila nina uhakikai utakuwepo ulaya iko mbali sana kimuundo mbinu
sawa bashweeni raia wa kwa mfalme mswati (Eswatin), hata hajui kama kuna jamii forum hapa duniani