Binti wa haraka anahitajika

Binti wa haraka anahitajika

kukumdogo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2011
Posts
2,891
Reaction score
2,796
Naitaji binti wa haraka mwenye elimu isiyo pungua form six awe anjua kupika vizuri mengine nitaongea nae! Awe mzuri kama Preta
 
Naitaji binti wa haraka
mwenye elimu isiyo pungua form six awe anjua kupika vizuri mengine
nitaongea nae! Awe mzuri kama Preta

weka pic ya preta ili na wenginge wakidondoshea hapa vi pic vyao uone ukose chaguo.
 
brought to you by....
250px-Day_old_chick.jpg
 
Naitaji binti wa haraka mwenye elimu isiyo pungua form six awe anjua kupika vizuri mengine nitaongea nae! Awe mzuri kama Preta

Eti! ® Binti wa haraka anaitajika ©
Jamani hivi tumefikia hatua ya kuwaona wanawake kama bidhaa!! Kichwa cha habari kimenikwaza kwakweli kinadhalilisha akina mama kwani kwani mwanamke hapatikani kirahisi kihivyo unless uende wanakojiuza na penyewe huendi kichwa kichwa.
Tujifunze kutumia kauli nzuri kwa dada zetu.
 
sijakuelewa binti wa haraka..kama housegal.mke..umeanzsha chuo kipya?unataka awe mis tz au.eleza wa nini.maana nsha boreka nahisi kudhalilishwa
 
sijakuelewa binti wa haraka..kama housegal.mke..umeanzsha chuo kipya?unataka awe mis tz au.eleza wa nini.maana nsha boreka nahisi kudhalilishwa

Awe na vigezo nilivyotaja vingine tutaelewana
 
Back
Top Bottom