Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,712
Awe na vigezo nilivyotaja vingine tutaelewana
Unatafuta mpishi au?
Awe na vigezo nilivyotaja vingine tutaelewana
miaka,dini,kabila wala haiko kwenye list yako awe amemaliza form six basiiiiiiiiiiiiii hapo ndiomwisho wa elimu unayo itakaa eeh sio zaidi wala ilopungua? nenda branch zote za OIL COM wote ni form Six kachague.........
Naitaji binti wa haraka mwenye elimu isiyo pungua form six awe anjua kupika vizuri mengine nitaongea nae! Awe mzuri kama Preta
Mmmmmmh
nini............
Interview kwa mambo ya mapenzi?! Loh! labda ya kiofisi tu mengine sina wakati nao.Unahitaji nikufanyie interview
Eti! ® Binti wa haraka anaitajika ©
Jamani hivi tumefikia hatua ya kuwaona wanawake kama bidhaa!! Kichwa cha habari kimenikwaza kwakweli kinadhalilisha akina mama kwani kwani mwanamke hapatikani kirahisi kihivyo unless uende wanakojiuza na penyewe huendi kichwa kichwa.
Tujifunze kutumia kauli nzuri kwa dada zetu.
Interview kwa mambo ya mapenzi?! Loh! labda ya kiofisi tu mengine sina wakati nao.
Kamata fulsa weweeee.....acha kuremba...
Hahaha ati fursa mimi sio mrahisi hivyo.
Kila bolt ina spana yake.....isipokuwa bolt dizaini yako tunafungua na mikono kwa kuwa zimefunguliwa na zimeshalegea kwa inakuwa rahisi kufungua....
Pole umeula wa chuya!! si hapa