Eliud Bunju
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 375
- 707
Wakuu Kuna Binti wa 2000 hajaolewa lkn ametokea kuwapenda sana wanangu wawili wa kiume. Kiasi kwamba ananiambia ni mahandsome sana,
Sasa Jana nilikua na chati nae akasema anataka kwenda kwao Tanga maana kibaha anaboleka anataka kutoka out lakini hana kampani, nikamwambia njoo mlandizi nikutoe out, akasema atakuja anaomba nimtafutie lodge alale aondoke kesho yake,
Hapa nawaza aje alale aonodoke mi sitaki kulala nae maana anaonekana kunitaka Kuna viashilia vingi naviona, wanawake wengine kwann wanapenda waume za watu jamani.
Huyu Binti mtoto wangu wa pili alivyozaliwa alifika hadi Hospitali kumuona mke wangu, na nikiwa sehemu anajisogesa sogeza sana kwangu, ofcoz
Mimi sihishi kibaha kwasababu nafanya kazi Mlandizi nikiwa off ndio narudi Kibaha kuiona familia huyu Binti ni family friend tu amepanga chumba anaishi karbu na kwangu kibaha ila ni mfanyakazi ameajiliwa.
Sasa Jana nilikua na chati nae akasema anataka kwenda kwao Tanga maana kibaha anaboleka anataka kutoka out lakini hana kampani, nikamwambia njoo mlandizi nikutoe out, akasema atakuja anaomba nimtafutie lodge alale aondoke kesho yake,
Hapa nawaza aje alale aonodoke mi sitaki kulala nae maana anaonekana kunitaka Kuna viashilia vingi naviona, wanawake wengine kwann wanapenda waume za watu jamani.
Huyu Binti mtoto wangu wa pili alivyozaliwa alifika hadi Hospitali kumuona mke wangu, na nikiwa sehemu anajisogesa sogeza sana kwangu, ofcoz
Mimi sihishi kibaha kwasababu nafanya kazi Mlandizi nikiwa off ndio narudi Kibaha kuiona familia huyu Binti ni family friend tu amepanga chumba anaishi karbu na kwangu kibaha ila ni mfanyakazi ameajiliwa.