Hassbaby
Member
- Jun 19, 2011
- 26
- 2
Waungwana hizi social network tuwe makini nazo binti mrembo ameuwa baada ya kukutana na rafiki wa facebook ambae amekuwa mpenzi wake, wakiwa hotelini jamaa mwengine ambae alikuwa x wa huyo dem akatokea na kuanza kumkata mapanga mpaka kumuua, angalieni na watu mnaokutana nao jaman mtapotea
Tazama zaidi tukio zima hapa PICHA ZA BINTI
BINTI ALIEUAWA KINYAMA KISA FACEBOOK ~ Hassbaby's (Mapacha)
Tazama zaidi tukio zima hapa PICHA ZA BINTI
BINTI ALIEUAWA KINYAMA KISA FACEBOOK ~ Hassbaby's (Mapacha)