mgangawaukoo
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 2,183
- 2,394
Mmh wamekuskia Madame mwajuma
Mkuu nimeipenda avator yako mkuuNa ukimwi mwambie atoe pia
Umenikumbusha MZUKILA mkuuMass media imechangia kuharibu vijana. Enzi zile tunakua mawasiliano ilikuwa ni barua, simu zilikuwa chache (Shirika la posta na simu) pia ghali. Uhusiano na jinsia ya pili ilikuwa mnakutaa either shule au kwenye school disko. zile za Mzumbe Boys na Kilakala girs, UMISETA etc.
Sikuhizi binti wa miaka 15 ana iphone, anachat mpaka saa nane usiku.