Mi ninaye fahamu hilo,,mi lilinitokea nikaamua kuowa tu na Leo tunaishi ,,Hapo uamuzi ni kwenu,,Sometime unatikiwa uwe wrong kwenye chaguzi sahihi,Ukiamgalia kwamba wewe hutakuwa wa kwanza,duniani nilipiga mimba nikasema bahati mbaya kwa ndugu lakini Leo ndio mke sahihi wa maisha yangu na tunapendana,, na Leo siishi maisha yangu ya zamani yaani leaving my dream life,,coz we know each other since ,,Childhood,, mpaka Leo 30+,,,