Binti huyu ameniharibia weekend yangu!

Binti huyu ameniharibia weekend yangu!

Jana jioni natoka kazini nikakutana na binti mmoja ambaye kiumbo alinivutia!
Mara baada ya salaam nilimwomba tuzungumze japo 5minutes,
kwanza alikataa akasema ana haraka anawahi kwenda kupika ametoka sokoni kununua mboga,
lakini baada ya kumbembeleza sana alikubali kunisikiliza nami baada ya kujitambulisha tuliongea mengi naye akanieleza sio mwenyeji wa hapa ila alikuwa masomoni ndo amehitimu chuo na amekuja kumsalimia mama yake mkubwa.
Nilimwomba tuwe wapenzi akasema atanifikiria,
tulipeana contact then tukaagana.
Usiku nkampigia hakupokea nkajua amesinzia nikamtumia sms "good knite"
Leo asubuhi akanibeep nkampigia akasema amepata safari ya ghafla anataraji kurudi kwao Shinyanga hivyo nikamwomba ikiwezekana tuonane kabla hajasafiri akasema leo mchana atakuwa free,
kwa kua kwangu ni mbali na kwao alishauri nitafute guest mitaa ya karibu ili asichelewe kurudi nyumbani jioni.
Saa 8 unusu nshalipia chumba na kumuelekeza nilipo akasema anamalizia kuoga anakuja,
saa 9 nampigia simu hapokei baadaye anapokea anasita kuongea kisha anakata na kunitumia sms "honey niko njiani nakuja,
je uko chumba no ngapi?"
nikamjibu "niko no 9"
Nkiwa chumbani nikapata wazo la kwenda duka la hapo jirani kununua condom,
ile natoka dukani namwona demu anashuka kwenye tax akiwa na wanaume wanne!
Nilisita kidogo na hawakuniona,demu alitangulia halafu wale jamaa wakasimama nje kama wanapanga jambo flani kisha wakaingia ndani!
Demu akanipigia na kusema"baby nimefika chumbani hakuna mtu naona kuna vinywaji tu! Uko wapi?"
nikamjibu "niko toilet nakuja"
Nimejaribu kuchungulia naona wale jamaa wamesimama koridoni kama kuna mtu wanamsubiri!
Kwa bahati nzuri sikuja na usafiri wangu hivyo nlizima simu nikaondoka kimyakimya nkachukua tex mpaka hom!
Sijui nini kiliendelea huko lakn sa hivi nawasha simu nikakuta ujumbe huu
"i'm sorry baby,ckuwa na nia mbaya ila wakati nataka kuja mme wangu alinikuta na kugundua nawacliana na ww,amenipiga sana na kulazimisha nimlete gesti ulipo ndo tukaja ila nashukuru Mungu umenusurika alikodi watu watatu!
I love u,
mme wangu akisafiri ntakutafuta"
Wana MMU Wenzangu najiuliza huyu alikuwa na maana gani aliponiambia hajaolewa ndo kamaliza chuo na anaishi kwa mamkubwa!
Namshukuru Mungu kuninusuru na balaa hili mpaka sasa nimelala sina hamu na hawa mabinti!


Kumbe ndio wewe wa kuliwa tigo eeeh, una bahati sana lakini hatutaacha kukuwinda.
 
Aisee wewe mshukuru mungu wako ungeaibika ,ila na wewe umetongoza leo kesho unata kula papuchi? Jirekebishe usione vyaeleaa.....
 
Da eeeebana eee pole sana jina lingebadilika aiseee 0713........... .? Usingepona
 
Dah aisee nimeimagine ndio mimi aaaaagh hatari sana hii kitu




Sent from Nokla using Jf app
 
sikuizi fumanizi dili, walitaka wakukamatishe halafu wakutoze pesa kibao ili wasongeshe maisha
chezea mjini weye.
 
Wanaume tumekuwa warahisi mno siku hizi...
Unakutana na binti dakika 5 unaomba awe mpenzi kesho yake unataka ukagegede!
Too easy
 
Jana jioni natoka kazini nikakutana na binti mmoja ambaye kiumbo alinivutia!
Mara baada ya salaam nilimwomba tuzungumze japo 5minutes,
kwanza alikataa akasema ana haraka anawahi kwenda kupika ametoka sokoni kununua mboga,
lakini baada ya kumbembeleza sana alikubali kunisikiliza nami baada ya kujitambulisha tuliongea mengi naye akanieleza sio mwenyeji wa hapa ila alikuwa masomoni ndo amehitimu chuo na amekuja kumsalimia mama yake mkubwa.
Nilimwomba tuwe wapenzi akasema atanifikiria,
tulipeana contact then tukaagana.
Usiku nkampigia hakupokea nkajua amesinzia nikamtumia sms "good knite"
Leo asubuhi akanibeep nkampigia akasema amepata safari ya ghafla anataraji kurudi kwao Shinyanga hivyo nikamwomba ikiwezekana tuonane kabla hajasafiri akasema leo mchana atakuwa free,
kwa kua kwangu ni mbali na kwao alishauri nitafute guest mitaa ya karibu ili asichelewe kurudi nyumbani jioni.
Saa 8 unusu nshalipia chumba na kumuelekeza nilipo akasema anamalizia kuoga anakuja,
saa 9 nampigia simu hapokei baadaye anapokea anasita kuongea kisha anakata na kunitumia sms "honey niko njiani nakuja,
je uko chumba no ngapi?"
nikamjibu "niko no 9"
Nkiwa chumbani nikapata wazo la kwenda duka la hapo jirani kununua condom,
ile natoka dukani namwona demu anashuka kwenye tax akiwa na wanaume wanne!
Nilisita kidogo na hawakuniona,demu alitangulia halafu wale jamaa wakasimama nje kama wanapanga jambo flani kisha wakaingia ndani!
Demu akanipigia na kusema"baby nimefika chumbani hakuna mtu naona kuna vinywaji tu! Uko wapi?"
nikamjibu "niko toilet nakuja"
Nimejaribu kuchungulia naona wale jamaa wamesimama koridoni kama kuna mtu wanamsubiri!
Kwa bahati nzuri sikuja na usafiri wangu hivyo nlizima simu nikaondoka kimyakimya nkachukua tex mpaka hom!
Sijui nini kiliendelea huko lakn sa hivi nawasha simu nikakuta ujumbe huu
"i'm sorry baby,ckuwa na nia mbaya ila wakati nataka kuja mme wangu alinikuta na kugundua nawacliana na ww,amenipiga sana na kulazimisha nimlete gesti ulipo ndo tukaja ila nashukuru Mungu umenusurika alikodi watu watatu!
I love u,
mme wangu akisafiri ntakutafuta"
Wana MMU Wenzangu najiuliza huyu alikuwa na maana gani aliponiambia hajaolewa ndo kamaliza chuo na anaishi kwa mamkubwa!
Namshukuru Mungu kuninusuru na balaa hili mpaka sasa nimelala sina hamu na hawa mabinti!

Nimecheka sana,na imagine sa hivi ungekua ushapata kibiongo,maana njemba 4 kila mmoja goli 2,ha ha ha
 
Jana jioni natoka kazini nikakutana na binti mmoja ambaye kiumbo alinivutia!
Mara baada ya salaam nilimwomba tuzungumze japo 5minutes,
kwanza alikataa akasema ana haraka anawahi kwenda kupika ametoka sokoni kununua mboga,
lakini baada ya kumbembeleza sana alikubali kunisikiliza nami baada ya kujitambulisha tuliongea mengi naye akanieleza sio mwenyeji wa hapa ila alikuwa masomoni ndo amehitimu chuo na amekuja kumsalimia mama yake mkubwa.
Nilimwomba tuwe wapenzi akasema atanifikiria,
tulipeana contact then tukaagana.
Usiku nkampigia hakupokea nkajua amesinzia nikamtumia sms "good knite"
Leo asubuhi akanibeep nkampigia akasema amepata safari ya ghafla anataraji kurudi kwao Shinyanga hivyo nikamwomba ikiwezekana tuonane kabla hajasafiri akasema leo mchana atakuwa free,
kwa kua kwangu ni mbali na kwao alishauri nitafute guest mitaa ya karibu ili asichelewe kurudi nyumbani jioni.
Saa 8 unusu nshalipia chumba na kumuelekeza nilipo akasema anamalizia kuoga anakuja,
saa 9 nampigia simu hapokei baadaye anapokea anasita kuongea kisha anakata na kunitumia sms "honey niko njiani nakuja,
je uko chumba no ngapi?"
nikamjibu "niko no 9"
Nkiwa chumbani nikapata wazo la kwenda duka la hapo jirani kununua condom,
ile natoka dukani namwona demu anashuka kwenye tax akiwa na wanaume wanne!
Nilisita kidogo na hawakuniona,demu alitangulia halafu wale jamaa wakasimama nje kama wanapanga jambo flani kisha wakaingia ndani!
Demu akanipigia na kusema"baby nimefika chumbani hakuna mtu naona kuna vinywaji tu! Uko wapi?"
nikamjibu "niko toilet nakuja"
Nimejaribu kuchungulia naona wale jamaa wamesimama koridoni kama kuna mtu wanamsubiri!
Kwa bahati nzuri sikuja na usafiri wangu hivyo nlizima simu nikaondoka kimyakimya nkachukua tex mpaka hom!
Sijui nini kiliendelea huko lakn sa hivi nawasha simu nikakuta ujumbe huu
"i'm sorry baby,ckuwa na nia mbaya ila wakati nataka kuja mme wangu alinikuta na kugundua nawacliana na ww,amenipiga sana na kulazimisha nimlete gesti ulipo ndo tukaja ila nashukuru Mungu umenusurika alikodi watu watatu!
I love u,
mme wangu akisafiri ntakutafuta"
Wana MMU Wenzangu najiuliza huyu alikuwa na maana gani aliponiambia hajaolewa ndo kamaliza chuo na anaishi kwa mamkubwa!
Namshukuru Mungu kuninusuru na balaa hili mpaka sasa nimelala sina hamu na hawa mabinti!

Wanaume sijui huwa mnajiamini nini,mtu mmekutana njiani leo then kesho gesti house....binadamu haaminiki haraka kiasi hicho bro.pole kwa maswaibu
 
Huyu jamaa ni muongo.mara demu katoka chuo mara,anakaa kwa mama mkubwa mara kwao ni shinyanga,mara mme wake..inamaana demu alitoka chuo na mme wake kuja kumsalimia ma mkubwa.?
 
kwanini ulienda kununua hiyo kitu? natamani ungebaki hizo njemba zikushughulikie ipasavyo. nadhani baada ya hapo tusingekuwa na uzi kama huu hapa jukwaani. ungemeza diclopar uugulie maumivu ya huko nyuma kimyakimya.
 
kwanini ulienda kununua hiyo kitu? natamani ungebaki hizo njemba zikushughulikie ipasavyo. nadhani baada ya hapo tusingekuwa na uzi kama huu hapa jukwaani. ungemeza diclopar uugulie maumivu ya huko nyuma kimyakimya.

Da kweli wewe mtata ulikuwa unataka mwenzio aingiziwe zile shaft.
 
Sema poa kaka ajali kazini isijalii kesho akitokea mwengine muendelezo tu
 
kwakuwa umeshajua nimke wa m2. achana nae na mshukuru aliyekuepusha na hiyo dhahma ya kuliwa 0713 cku mingine kua makin sn
 
Back
Top Bottom