Binti huyu ameniharibia weekend yangu!

Binti huyu ameniharibia weekend yangu!

Hawa mi ndo nawataka,hawa....ndo maana siachi kutembea na glock yangu
 
Mtafute mmalize mchezo bhana we unakubali hiyo hasara ya kulipa guest, vivyaji,condom, tax na vocha ya kumpigia.
 
We kweli inabidi umshukuru Mungu, mana ilibaki kidogo tu utatuliwe marinda.

Hivi siku hizi hiyo ndio adhabu iliyo nyepesi kuliko zote?
Maana naona baadhi ya watu wameitaja sana na wewe ukiwemo.
 
Duh! pole sana, you are very lucky otherwise ungenyonyolewa kama kuku/bata
 
Mmmh, ck nyingine uwe makini na inakuwaje mtongozano unakuwa rhc hivyo and within short time tyr quest. Unamwona mtu mara moja ila unamchunguza zaid ya kipind flan.
mkuu hayo ndio mambo ya dsm..hakuna kusumbuana.
 
Hv huwa mnategemea nn kwa hao wanawake mnaokutana nao leo kesho wanakubali kugegedwa? Msichana mweny maadili kamwe hawezi kuwa hvyo, mtabaki kuwa mnatendwa hvyo kila cku kwasababu nyinyi wenyewe mnachagua wanawake waliokwisha potea njia hata mwez hammalizi mnakuja hapa ooh nimemfumania, sasa unategemea nn
 
Yani unakutana na mtu hata haujamchunguza vzuri unataka kumchungulia.....
 
umalaya utakuua mkuu, wangekushikisha ukuta hao jamaa. kama unajitegemea kwanini usioe?
 
Kwa ufupi huyo mwanamke ni tapeli...

Inawezekana hajaolewa ila ndiyo njia yake na hao mabasha wake ya kutegeneza pesa. Kama wangekunasa hakika ungewapa pesa ya kutesea mjini kwa zaidi ya mwezi...

She deserves a revenge!
 
na ukomage yaani date ya siku moja tu mnapanga kwenda kugegedana!!! msonyoooo
 
Hivi siku hizi hiyo ndio adhabu iliyo nyepesi kuliko zote?
Maana naona baadhi ya watu wameitaja sana na wewe ukiwemo.

Kumegewa mke inauma sana, hivyo ili kuneutralize maumivu ya moyo na hasira lazma amfanyie kitu ambacho hatokisahau maisha yake yote. 0713 ni kitu ambacho kwa mwanaume rijali akifanyiwa ni udhalilishaji tosha yaheri umkate mkono na ndo habari ya mjini japo wengine wana prefer kukudhalilisha kwa kuita media za udaku.
 
Binadamu hujifunza kutokana na makosa hivyo nami nmejifunza kitu!

Mkubwa wangu wa kazi, hapa hata mimi nimejifunza kitu.Sipo TZ kwa sasa lkn huwa nawasiliana na demu fulani mtandaoni ambae "vipimo vimetimia" kwa jinsi alivyo. Sasa siku chache zilizopita nilimdanganya nipo TZ ,cha kwanza anataka tukutane, na tusikutane Mahali pa wazi,anataka aje anikute hotel nishachukua chumba namsubiri.Kimsingi nisingeweza kufanya yeye anavyotaka hata kama ningekuwa nipo TZ maana nilishahisi jambo kutoka kwake,na kwa huu "Mziki" aliotaka kukutana nao muungwana nadhani ndio wale wale.Siku zote maisha ni kujifunza kupitia kwa wengine, hapa na mimi nimeingiza kitu kumkichwa.
 
Yani unakutana na mtu hata haujamchunguza vzuri unataka kumchungulia.....

umeona eeeh wajina sister hawa watakuja kutongoza hadi majini kwa kuendekeza ngono
 
Last edited by a moderator:
Huna Mke au mpenzi we we? Ndo u....me kuvamia mabibi usowajua, wangekula kiboga bahati yako
 
mshukuru Mungu wako anakupenda si utafte mke kama uzalendo unakushnda cjui wangekufanyaje ucirudie tena michepuko siyo deal baki njia kuu
 
Back
Top Bottom