BINTI: Filamu ya kwanza ya Kitanzania inayooneshwa Netflix

Sound quality ni nzuri. Video quality ni nzuri lakini story ni overrated. Ni filamu ya kawaida sana.
 
Sound quality ni nzuri. Video quality ni nzuri lakini story ni overrated. Ni filamu ya kawaida sana.
Kweli sema tunaizungumzia sababu ya kuwa filamu ya kwanza ya kibongo.
 
Screenshot_20220108-154507_Netflix.jpg
 
Hivi ndio ya kwanza kumbe?

Siyo ya kwanza.. bali director wa kwanza Mtanzania. Kuna kama mbili tatu za director Mzungu(bado sijaziangalia).. Ila hii imegusa aina 4 za maisha yanayowakabili binadamu maishani.. Ameiweka kiaina yake na ni nzuri..
 
Ni filamu nzuri kwakweli. Yule jamaa emma mahusiano yake ndio mahusiano mengi ya mabinti wa kibongo wanapitia, kwa wanaume wakatili ila wana uwezo. Msichana anavumilia kipigo kwa good life analopewa na bwana ake
 
Hiyo Movie nimeitizama jana mtunzi ni mpumbavu movie haina mwisho and ni kama Movie tatu in one film Bongo ujinga sana... Kuipakua hiyo movie hiyo hapo down:- issue haijulikani kisa, mwanzo wala mwisho, nani mzuri nani mbaya wamechemsha ni muendelezo wa movie za kijinga jinga za bongo
 
Siyo ya kwanza.. bali director wa kwanza Mtanzania. Kuna kama mbili tatu za director Mzungu(bado sijaziangalia).. Ila hii imegusa aina 4 za maisha yanayowakabili binadamu maishani.. Ameiweka kiaina yake na ni nzuri..
Haina uzuri wowote. Tusisifie ujinga
 
Siyo kila kitu jwnaume unafatilia acha zinipite niko sehemu naona jwanaume zinabishan kuhis movie sijui Netflix hapn siyo kila kitu unafatilia
 
Hiv mwigizaji/mtunzi atapataje hela kwa filamu yake kuoneshwa Netflix?
Labda kama unazungumzia kulipwa bonus manake katika mazingira ya kawaida, Waigizaji wanakuwa wameshalipwa kitambo!! Huyo Mtunzi nae itategemea kama ana role nyingine zaidi ya kuwa mtunzi (scriptwriter).

Kama role yake inaishia kwenye scriptwriting, basi nae cha kwake kishachukua kitambo!

And as a matter of fact, I doubt kama Bongo kuna kulipana bonus.

Swali la msingi labda iwe NetFlix Wanalipa lipa vipi!!

Katika mazingira ya kawaida, hawa huwa wanainunua movie/series husika, na anayelipwa ni owner wa hiyo movie, ambapo inaweza kuwa production company, movie studio or even Independent Producer!

Pamoja na yote hayo, suali lako ni la msingi sana ambalo Movie Crews wanatakiwa kuzingantia masuala ya bonus kwa sasa!! Kwamba, kama Screenwriter unajiamini na kazi yako, basi make sure mkatana wenu unahusisha mambo kadhaa including possible bonus... hivi ndivyo wanavyofanya wenzetu!

Mwandishi usipoweka hilo akilini, unaweza kuandika stori halafu filamu yako ikaja kuwa acrquired na watu kama NetFlix simplye because wamevutiwa na stori yako! Hapa ndo unakuta NetFlix wananunua filamu kwa $1.5Million wakati Mwandishi mwanzoni ulilipwa Kibongo bongo ONLY Sh 700K!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom