Du Bint ana miaka 24 huyo anajua kila kitu, ayaseme tu kwa watu na ni kwanini anaishi hapo nyumbani wakati ana watoto karibia ya wawili?ni miaka 10 iliyopita alishavunja sinia
Ni wanaume wangapi wana miDushelelee kuliko hako alikokaona, yeye asimwambie Mama yake lakini watumwe watu wamweleze huyo rafiki wa mama yake naye atampenyezea Baba yake kuwa tumeshafumaniwa na mwanao kwa chabo
kwa umri huu hana shida sana, huyu ni mtu mzima atulizane atasahau. achukue kama bahati mbaya tu halafu huyo mother mwingine amkate jicho tu ila asimwambie kitu. yenyewe itajieleza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.