Binti akizungumza na bibi yake.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
[BINTI]:Bibi,hivi kwanini wanaume wanapotutongoza wanatupa zawadi nyingi kweli lakini tukishawakubalia hawatupi zawadi tena na wala hawatu thamini kama mwanzo? [BIBI]:Hahahahaaah!usinichekeshe mjukuu wangu,wewe tangu lini umewahi kuona mvuvi akimlisha samaki chambo mara baada ya kumvua kutoka mtoni,ziwani au baharini?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…