Bing Bang Theory is real. Ask me anything about it here…

Bing Bang Theory is real. Ask me anything about it here…

Wewe jamaa ni mtu mpumbavu sana
Nakufuatilia Kwa karibu nione evidence za hio theory kumbe ni masuala ya niamini Mimi bro
Hili jukwaa la intelligence linaruhusuje
Sasa......


Naona ufia dini umewaharibu mno na kudhani sayansi Ina dili na makisio yasiyo na mashiko.
 
“Hata alipofika mahali jua linapozama, aliona linazama katika chemchemi ya matope…”
Surah Al kahf 18:86
Huu ni upumbavu, vitabu vimeandikwa ili muweze kuishi katika maadili hamna fact yeyote inayoelezea Vitabu vya kidini especially kuhusu space related issue ambayo sayansi imekubali. Quran Haina ujumbe wowote unaosaidia kwenye space program.

One of the big issue nimeona especially kwa waislam ni kujifanya with just that one single boom you can explain the who universe which is completely wrong. That's why people are still curious na kuendelea ku explore zaidi, huu ujinga wa kujifanya wajuaji ni mbaya sana.

Leo, nilikuwa nacheck mission ya Artemis, waislam wanajifanya mnamtafuta Mungu kwenye mwezi. Mara huwezi kutoka nje ya earth horizon aise religion is religion and it is based on faith and science is investigation and experimentation and based on fact and evidence.
 
Huu ni upumbavu, vitabu vimeandikwa ili muweze kuishi katika maadili hamna fact yeyote inayoelezea Vitabu vya kidini especially kuhusu space related issue ambayo sayansi imekubali. Quran Haina ujumbe wowote unaosaidia kwenye space program.

One of the big issue nimeona especially kwa waislam ni kujifanya with just that one single boom you can explain the who universe which is completely wrong. That's why people are still curious na kuendelea ku explore zaidi, huu ujinga wa kujifanya wajuaji ni mbaya sana.

Leo, nilikuwa nacheck mission ya Artemis, waislam wanajifanya mnamtafuta Mungu kwenye mwezi. Mara huwezi kutoka nje ya earth horizon aise religion is religion and it is based on faith and science is investigation and experimentation and based on fact and evidence.
Wewe umekaririshwa theory za wazungu ukameza kama kuku huna Evidence
 
“Hata alipofika mahali jua linapozama, aliona linazama katika chemchemi ya matope…”
Surah Al kahf 18:86
Ukiwa pwani ya Cameroon na Nigeria,utaona jua linazama baharini,ukiwa jangwani utaona jua likichomoza na kuzama kwenye mchanga wa jangwa,ukiwa coco beach dar utaona jua linachomoza bahari ya Hindi
 
“Hata alipofika mahali jua linapozama, aliona linazama katika chemchemi ya matope…”
Surah Al kahf 18:86
Ukiwa pwani ya Cameroon na Nigeria,utaona jua linazama baharini,ukiwa jangwani utaona jua likichomoza na kuzama kwenye mchanga wa jangwa,ukiwa coco beach dar utaona jua linachomoza bahari ya Hindi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom