Bing Bang Theory is real. Ask me anything about it here…

Bing Bang Theory is real. Ask me anything about it here…

Faida za hii kozi; Kozi inatoa wigi mpana kwa mhitimu. Ana wigi mpana wa kuajiriwa, kujiajiri. Watu wengi wa darasa letu ni Maafisa Mipango kwenye maalmashauri, Wachumi, Bankers, finance planners and analysts, NGO sectors pia imewachukua wengi na sekta binafsi kwa ujumla wana soko huko. Kama mtu ataweza kupat mtaji na kujiajiri, anaweza kuwa mzuri sana kwenye eneo hilo hasa mipango, usimamizi na ubunifu.

Hasara ya kozi hii; Hii kozi pamoja na kukupa wigo mpana wa kuajirika lakini bado haimpi mhitimu ujuzi wa yeye kujiajiri moja kwa moja kwa ujuzi huo, tofauti na ilivyo Agronomy. Maana mtu wa Agronomy anasoma General Agriculture studies, anaweza kufanya ugani au farm mechanization vizuri. Ni kozi inamjengea mtu kuwa analyst au planner mzuri, lakini inakosa ujuzi wa moja kwa moja ambao mtu anaweza kuutumia kukabiliana na mazingira yake.
Ahsante sana Mkuu umenitoa tongotongo
 
Nilipiga Bachelor of Arts (BA) in Economics chuo pendwa mkuu.
Mkuu kama ni chuo pendwa utakuwa ulikutana na akina karamagi, natu mwamba, krama, na wengneo kuna masudi AC 101 PAMOJA NA SULUO.. akina kamata kule ds
rais wako alikuwa kipara, pm makuri
na kama ulikuwa huko bila shaka unapajua sana block g...kwa mama mwarabu madonati...hata lile kunji la ...au basi hadi kawambwa akaja..

Enzi hzo nkrumah ni darasa la st, ds na cl

Naomba kutabiri: INAWEZEKANA ECONOMETRICS HAIKUWA nzuri SANA IJAPO HATA QM SIYO.
 
Hiyo Geography Advance nilipiga A, ila kwenye maisha sasa hakuna mahali naitumia dah

Hongera sana, nilipiga B ya Jogi, nikapiga C ya number, nikapiga Banda la Uchumi.
Kuhusu ya maisha: Maisha yanategemea vitu vingi, maisha sio elimu peke yake, kuna bidii, maarifa sahihi, bahati na kipaji. Wewe jiulize Calculus tunazitumia wapi?
Watu kibao waliosoma hesabu mpaka advance, wengi wameishia kuwa waalimu wa hesabu.
Maisha halisi yanaanza baada ya chuo mkuu. 😁
 
Hongera sana, nilipiga B ya Jogi, nikapiga C ya number, nikapiga Banda la Uchumi.
Kuhusu ya maisha: Maisha yanategemea vitu vingi, maisha sio elimu peke yake, kuna bidii, maarifa sahihi, bahati na kipaji. Wewe jiulize Calculus tunazitumia wapi?
Watu kibao waliosoma hesabu mpaka advance, wengi wameishia kuwa waalimu wa hesabu.
Maisha halisi yanaanza baada ya chuo mkuu.
Baada ya kutumia calculus kwenye qm na econometrics kutafuta course work, in real life hayapo kokote labda kwa wahandisi huko
 
Mkuu kama ni chuo pendwa utakuwa ulikutana na akina karamagi, natu mwamba, krama, na wengneo kuna masudi AC 101 PAMOJA NA SULUO.. akina kamata kule ds
rais wako alikuwa kipara, pm makuri
na kama ulikuwa huko bila shaka unapajua sana block g...kwa mama mwarabu madonati...hata lile kunji la ...au basi hadi kawambwa akaja..

Enzi hzo nkrumah ni darasa la st, ds na cl

Naomba kutabiri: INAWEZEKANA ECONOMETRICS HAIKUWA nzuri SANA IJAPO HATA QM SIYO.

Mkuu KUNJI Gen Z pale hawawezi kuzijua, umenikumbusha mbali sana, Econometrics mimi nilidakwa, ilibidi nirudi September Conference. Na penyewe kwa mbinde sana nikachomoa. 😁
 
Baada ya kutumia calculus kwenye qm na econometrics kutafuta course work, in real life hayapo kokote labda kwa wahandisi huko

Ajabu QM ni module inayochukua credit kibao kuliko hata Financial Mgt I & II. QM unakuta ina 12, FAM ina 8 au 9. Na hakuna applicability popote pale. 😁
Yaani "Differentiation & integration" inakuwa ni module muhimu kuliko "Project Planning & mgt" . 😁
 
Mkuu KUNJI Gen Z pale hawawezi kuzijua, umenikumbusha mbali sana, Econometrics mimi nilidakwa, ilibidi nirudi September Conference. Na penyewe kwa mbinde sana nikachomoa.
Econometrics ni nyoko yaani haieleweki inataka nini na haitaki nini...
Humo nilipenya kwa mbinde..kuna mshenzi principles of accounting 1 sitamsahau yule dr masoud mzanzibar alikuwa akifundisha jasho linamtoka kama amekula nungunungu!

Gz hawajui kuna kitu kinaitwa rev sqr, eti siku hz wamepanda maua pale
 
Hiko kitabu kiliandika ujinga kuliko vitabu vyote ninavovifaham
Kiswahili ni 'hicho' kitabu na si hiko
Hapo hujawahi hata kukisoma lakini unajifanya unakijua
 

Attachments

  • Screenshot_2026-03-27-23-15-13-008.jpg
    Screenshot_2026-03-27-23-15-13-008.jpg
    126.2 KB · Views: 3

Similar Discussions

Back
Top Bottom