gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 13,026
- 16,036
Imeeleza kitu gani?
Imeeleza kitu gani?
Viingereza vya nini!?How can you help us what caused it based on Quran?
😂Watu bhan kuandika kwenye tumegundua 1500BCE also Islamic started 600 years later after Jesus died Sasa hivi vitu they don't contain fact that science has provide to us.Viingereza vya nini!?
Uwe unasoma na kuzingatia unachojibiwa,Mimi nakusoma wewe na wachangiaji kwa umakini na kijibaridi hiki Cha mvua😂Watu bhan kuandika kwenye tumegundua 1500BCE also Islamic started 600 years later after Jesus died Sasa hivi vitu they don't contain fact that science has provide to us.
The Big Bang theory imetengenezwa na mordern physics around 20th century na sidhani kama Kuna kitabu Cha dini kimeelezea.
kumbe kuran ina mambo eh? nasikia hata gulf of alaska imeelezwa kwenye kuran.Kiswahili ni 'hicho' kitabu na si hiko
Hapo hujawahi hata kukisoma lakini unajifanya unakijua
ni big bang mkuu siyo bing bangMuda wote nlikua nawaza gang bang kumbe ni bing bang
Hakuna kitu hapoViingereza vya nini!?
kweli kabisa,ila ni mfumo wa wa elimu Tanzania ndiyo umeharibu kila kitu umekaa kumezesha watu na sio kwaajili ya kunufaika na elimu yetu bali kujaza ubongo tuNadhani ndio Elimu inapotumika vibaya hapo. You learn something just for grade's not to understand or use education as a tool.
nimejaribu kuvuta picha nikaona namna muda wako shule ulivyo kuwa wa mateso🤣🤣 hakuna kuandika notes wala nini ,kudoji vipindi ilikua kawaida,muda wa break ulikua ni muda wako pendwa kengele ilikua ikipigwa hivi umesharuka dirishani,mwalimu akikaza na muda wa break umeshagonga unatamani umwambie mwalimu muda wa mapumziko tayari tuache😜Nilivyokuwa sipendi kusoma wala
Sikuwa nakesha acha nikodoe tu mimacho😃
We acha tu breaktime nikirudi hostel ndio bye bye! Kama umejua tu na sijawahi kufeli sasa😁nimejaribu kuvuta picha nikaona namna muda wako shule ulivyo kuwa wa mateso🤣🤣 hakuna kuandika notes wala nini ,kudoji vipindi ilikua kawaida,muda wa break ulikua ni muda wako pendwa kengele ilikua ikipigwa hivi umesharuka dirishani,mwalimu akikaza na muda wa break umeshagonga unatamani umwambie mwalimu muda wa mapumziko tayari tuache😜
umeshaona wapi watukutu wanafeli 😂😂😂We acha tu breaktime nikirudi hostel ndio bye bye! Kama umejua tu na sijawahi kufeli sasa😁
Nani mtukutu baba mchungaji?🙄umeshaona wapi watukutu wanafeli 😂😂😂
hivi mtukutu ni mtu mjanja sio 😂😂 basi mjanja mjanja huwa hawafeliNani mtukutu baba mchungaji?🙄
Wee mi ni mpolee kuandika kwangu huku kusikuchanganye! Nasukuma siku tu mwenzio😆hivi mtukutu ni mtu mjanja sio 😂😂 basi mjanja mjanja huwa hawafeli
kesho uje kanisani kondoo wanguWee mi ni mpolee kuandika kwangu huku kusikuchanganye! Nasukuma siku tu mwenzio😆
Nlikua sehemu na charge vituni big bang mkuu siyo bing bang
Sahihi, juzi nilikuwa naongea na dogo yupo form four dah wanakiririshwa. Mtoto akitoka hapo everything disappears slowly, hamna anapo apply kitu mahali.kweli kabisa,ila ni mfumo wa wa elimu Tanzania ndiyo umeharibu kila kitu umekaa kumezesha watu na sio kwaajili ya kunufaika na elimu yetu bali kujaza ubongo tu