Binafsi sina namba ya NIDA

ntuchake

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
437
Reaction score
1,614
Wakuu mi binafsi sina namba ya NIDA lakin nina passport ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na nimeshasafiri nchi zaidi ya 35.

Asa wakuu wa jf mnaniweka kwenye kundi gani?

Mnipe mchongo wa kupata namba ya NIDA online mana mi mambo ya kupanga foleni kusubiri masaa siwezi kabisa.
 
Umepataje passport bila NIDa
 
Kundi la watu wa mchongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…