kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Binafsi napenda kuishauri Serikali za mikoa yote ya Tanzania ziwakamate watoto wote wa mitaani ili kila mtoto awataje wazazi wake kisha Serikali ndio ihangaike na hao.
Watoto ambao wanaishi na mmoja kati ya wazazi wake binafsi sioni kama ni tatizo kubwa kama la wale wa mitaani ambao kula kulala kutibiwa hawana wa kuwasaidia.
Naomba tujadili.
Watoto ambao wanaishi na mmoja kati ya wazazi wake binafsi sioni kama ni tatizo kubwa kama la wale wa mitaani ambao kula kulala kutibiwa hawana wa kuwasaidia.
Naomba tujadili.