jose mjasiriamali
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 1,770
- 1,603
- Thread starter
- #21
Kama wamekamatiwa sehemu ya tukio au kama ushahidi upo kwamba ni wezi then no way acha walipe gharama ya matendo Yao.
Tatizo kuna watu wanachomwa kwa kudhaniwa tu kuwa ni wezi ama kwa chuki zingine kabisa.
These are signs of a failed. state.
Na ndo kinachoonekana hapa,wameenda kufuatwa walipokuwepo then wakapelekwa sehemu ya tukio af ndo wakateketezwa