jose mjasiriamali
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 1,770
- 1,603
- Thread starter
- #41
Wanakijiji wanasemaje juu ya tabia ya hao marehemu kabla ya tukio, yaani maisha yao yalikuwaje mwaka mmoja uliopita, je hawakuwa mafuska, je hawakuwa dhurumati, je hawakuwa makuwadi? Tupe majibu ya haya maswali kama unayo.
Wenyeji wanadai jamaa hawakuwahi ku ripotiwa kwa kosa lolote kabla ya hili tukio ambalo hata wanachodaiwa kuiba hakikuibwa, na wengi wameonekana wakilia huku wanalalamika kuwa umasikini wao ndio chanzo cha yote hayo, kwamba hawana uwezo wa kufanya chochote