View attachment 235222
Ni tukio la kusikitisha sana, limetokea mkoa wa Dodoma,wilaya ya Chemba,tarafa ya Goima,kijiji cha Igunga ambapo watu wawili wanaosadikika kuwa ni wezi wamechomwa moto hadi kufa. Ni kitendo cha kikatili kwa kweli.
Chanzo: Mimi mwenyewe nilikuwa eneo la tukio
Duuuu hii hukumu ya wananch wanaojiita wenye hasira Kali mmmh balaaa