jose mjasiriamali
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 1,770
- 1,603
Mmmh!!!!! Kazi ya binadamu hii, inasikitisha sana
Kuna kipindi watu ubinadamu huwa unawatoka kutokana na matukio wanayotendewa na wanadamu wenzao.....
Ila angalau uthibitishe basi, ila kuhisi tu mkachukua maamuz kama hayo ni hatari, halafu kwenye kijiji kidogo kama hiki?? Nakosa amani sana kuwa hapa maana mauwaji ya watu yamezidi
Na hawajathibitisha ila wanahisiwa tu!!ila ni kitendo ambacho hata wenyeji hapa kijijini hawajaridhishwa nacho, ni kama ubabe flani iv kwamba mtu ana hela kwa hiyo anaweza kufanya chochote
Ubaya ni kwamba wezi huwa hawathibishi kwanza kuwa una mali au la kabla ya kukudhuru na vitu vyenye ncha kali..
Vipi kama waliofanya mauwaji walinunuliwa maana kinachoonekana hapa wauwaji walibebwa kwa fuso kwenda kuwateketeza watuhumiwa
Ni tukio la kusikitisha sana, limetokea mkoa wa Dodoma,wilaya ya chemba,tarafa ya goima,kijiji cha Igunga ambapo watu wawili wanaosadikika kuwa ni wezi wamechomwa moto hadi kufa. Ni kitendo cha kikatili kwa kweli.