Fahari ya kusini
JF-Expert Member
- Nov 26, 2022
- 427
- 1,668
Binadamu wa kawaida unapataje GPA below 4.8 we ni binadamu wa kawaida? Hivi mniambie binadamu hasa unapata GPA below 4.8 wewe utakuwa binadamu au mnyama sasa unatofuti gani na kuku ambae wanasema Hana akili? Serikali ipige marufuku kuwaajiri hawa watu wanaleta ufanisi mdogo serikali nyie ndiyo mnafanya waTanzania wote tuonekane wajinga kwa kutokuwa na akili sasa kama wewe unajua hauna akili unaenda chuo kufanya nini?
Si uende soko la shekilango kuuza kuku na mayai yake?
Unapata GPA below 4.8 na unafurahi kuwepo hapa duniani bila mshipa wa aibu na unaoa kabisa sasa wewe unaenda kuzaa mtoto wa aina gani kama wewe mwenyewe hauna akili na mke wako hana akili kwahiyo unaenda kuleta watoto wasio na akili hapa duniani!! Aibu yako
Si uende soko la shekilango kuuza kuku na mayai yake?
Unapata GPA below 4.8 na unafurahi kuwepo hapa duniani bila mshipa wa aibu na unaoa kabisa sasa wewe unaenda kuzaa mtoto wa aina gani kama wewe mwenyewe hauna akili na mke wako hana akili kwahiyo unaenda kuleta watoto wasio na akili hapa duniani!! Aibu yako