Binadamu tumeumbiwa kusahau

XII Tz

JF-Expert Member
Aug 16, 2020
4,293
6,957
Kwa kawaida sisi wana Simba hatunaga akili mbovu kama hawa wenzetu vinyesi fc, imekua kero mitaani ukibishana nao kidogo tu wanakumbushia tobo alilopigwa zimbwe kana kwamba ni kitu cha ajabu sana na hii inaonyesha ni namna gani hawa ndugu zetu walivyo malimbukeni.

Anyway binadamu tumeumbiwa kusahau, hivyo ningeomba niwakumbushe tu na kama Simba tungekua na ulimbukeni kama hawa ndugu zetu basi mjini pasingetosha maana Simba udambwi udambwi ndio mwake, Chama kuna kipindi mpaka alitaka kushtakiwa kwa ukiukwaji wa haki za kibinadamu uwanjani, akaamua kupunguza vyenga vya maudhi. Embu tujikumbushe kidogo hapo chini
1661797930272.jpg
 
Huu ndio utani wa jadi mkuu, ndio sababu shabiki wa yanga au simba hata afungwe goli ngapi hua hakosi sababu yakujitetea.
 
Vimewauma sana naona. Mleta mada tafuta picha ya tobo la yule mkongo wao alopigwa kwny mechi yao na coastal
 
Kwa kawaida sisi wana Simba hatunaga akili mbovu kama hawa wenzetu vinyesi fc, imekua kero mitaani ukibishana nao kidogo tu wanakumbushia tobo alilopigwa zimbwe kana kwamba ni kitu cha ajabu sana na hii inaonyesha ni namna gani hawa ndugu zetu walivyo malimbukeni.

Anyway binadamu tumeumbiwa kusahau, hivyo ningeomba niwakumbushe tu na kama Simba tungekua na ulimbukeni kama hawa ndugu zetu basi mjini pasingetosha maana Simba udambwi udambwi ndio mwake, Chama kuna kipindi mpaka alitaka kushtakiwa kwa ukiukwaji wa haki za kibinadamu uwanjani, akaamua kupunguza vyenga vya maudhi. Embu tujikumbushe kidogo hapo chini View attachment 2339046
Matokeo ya hii mechi please
 
Kwa kawaida sisi wana Simba hatunaga akili mbovu kama hawa wenzetu vinyesi fc, imekua kero mitaani ukibishana nao kidogo tu wanakumbushia tobo alilopigwa zimbwe kana kwamba ni kitu cha ajabu sana na hii inaonyesha ni namna gani hawa ndugu zetu walivyo malimbukeni.

Anyway binadamu tumeumbiwa kusahau, hivyo ningeomba niwakumbushe tu na kama Simba tungekua na ulimbukeni kama hawa ndugu zetu basi mjini pasingetosha maana Simba udambwi udambwi ndio mwake, Chama kuna kipindi mpaka alitaka kushtakiwa kwa ukiukwaji wa haki za kibinadamu uwanjani, akaamua kupunguza vyenga vya maudhi. Embu tujikumbushe kidogo hapo chini View attachment 2339046
Mwendo wa kugalagala
1661865539289.jpg
 
Sasa kama Zimbwe alipigwa tobo kweli we umekuja kulialiaa nini hapa..?.. mmefungwaa mmefungwa na matobo juu
 
Back
Top Bottom