XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,293
- 6,957
Kwa kawaida sisi wana Simba hatunaga akili mbovu kama hawa wenzetu vinyesi fc, imekua kero mitaani ukibishana nao kidogo tu wanakumbushia tobo alilopigwa zimbwe kana kwamba ni kitu cha ajabu sana na hii inaonyesha ni namna gani hawa ndugu zetu walivyo malimbukeni.
Anyway binadamu tumeumbiwa kusahau, hivyo ningeomba niwakumbushe tu na kama Simba tungekua na ulimbukeni kama hawa ndugu zetu basi mjini pasingetosha maana Simba udambwi udambwi ndio mwake, Chama kuna kipindi mpaka alitaka kushtakiwa kwa ukiukwaji wa haki za kibinadamu uwanjani, akaamua kupunguza vyenga vya maudhi. Embu tujikumbushe kidogo hapo chini
Anyway binadamu tumeumbiwa kusahau, hivyo ningeomba niwakumbushe tu na kama Simba tungekua na ulimbukeni kama hawa ndugu zetu basi mjini pasingetosha maana Simba udambwi udambwi ndio mwake, Chama kuna kipindi mpaka alitaka kushtakiwa kwa ukiukwaji wa haki za kibinadamu uwanjani, akaamua kupunguza vyenga vya maudhi. Embu tujikumbushe kidogo hapo chini