Binadamu atakufa safari tisa ndo amuone Mungu

Umeyajulia wap haya unayotueleza aliwai kuish huko ni baba yako ni mama yako ni mke wako ni shangazi yako ni naniiiiiii
 
Sasa ni hakika na wazi kuwa binadamu ataishi kwenye sayari tisa kabla ya kuonana na Mungu

Inasemekana Adam aliishi miaka 900 ambapo kila baada ya miaka 100 alikuwa akiishi kila sayari na Dunia ilikuwa Sayari ya mwisho kuishi kwa Adam

Sasa iko hivi binadamu unatakiwa kuishi miaka 100 kila sayari,na Dunia ndo sayari ya mwisho kwa Adam hivyo Dunia itakuwa sayari ya kwanza kwenda kwenye Sayari zingine zile zenye uhai na si hizi ambazo umesoma kwenye sayansi

Zipo sayari zingine zinazofanana kila kitu na Dunia na ndo safari ya maisha ya binadamu akielekea sayari nyingine

Binadamu akifa baada ya miezi tisa atazaliwa kwa mwanamke katika sayari nyingine

Endapo alikufa akiwa na umri wa miaka 40 atazaliwa kwenye sayari nyingine ambayo kule ataishi miaka 120 ndo atakufa tena na kuzaliwa kwenye sayari ya tatu

Kwa maana hiyo ikiwa binadamu amekufa kabla ya miaka 100 hivyo sayari inayofuata ataishi miaka mingi zaidi ili kufidia maisha ya sayari iliyopita

Kama atakutana na changamoto za kufa kabla ya miaka 100 kwa kila sayari ya kwanza mpaka ya sita basi Sayari ya Saba mpaka tisa changamoto za kukatisha maisha yake zitaondolewa na atafidia maisha ya miaka 900 ili amuone mungu

Pia hii inaenda sambamba na wanyama,na viumbe hai wengine

Pia inasemekana binadamu ukiwa unazaliwa kwenye sayari nyingine hutakuwa na uwezo na kumbukumbu kuwa umewahi kuishi ila kumbukumbu zitaanza kurejea utakapofikisha miaka 700 kwenye sayari ya saba na nane ambapo utakuwa muda wa kurekebisha uhai wa maisha yake
We jamaa muongo kinoma
 
Ulimwengu upo mingi kuanzia 111,222,333,444,555, hii dunia ni 666, ulimwengu zinazofuata ni 777,888,999. Nakuunga mkono ila ongeza taarifa watu wajue. Ukiona upo hapa jua unatakiwa uongeze juhudi ufike 777.
 
Amka ukakojoe

Sasa ni hakika na wazi kuwa binadamu ataishi kwenye sayari tisa kabla ya kuonana na Mungu

Inasemekana Adam aliishi miaka 900 ambapo kila baada ya miaka 100 alikuwa akiishi kila sayari na Dunia ilikuwa Sayari ya mwisho kuishi kwa Adam

Sasa iko hivi binadamu unatakiwa kuishi miaka 100 kila sayari,na Dunia ndo sayari ya mwisho kwa Adam hivyo Dunia itakuwa sayari ya kwanza kwenda kwenye Sayari zingine zile zenye uhai na si hizi ambazo umesoma kwenye sayansi

Zipo sayari zingine zinazofanana kila kitu na Dunia na ndo safari ya maisha ya binadamu akielekea sayari nyingine

Binadamu akifa baada ya miezi tisa atazaliwa kwa mwanamke katika sayari nyingine

Endapo alikufa akiwa na umri wa miaka 40 atazaliwa kwenye sayari nyingine ambayo kule ataishi miaka 120 ndo atakufa tena na kuzaliwa kwenye sayari ya tatu

Kwa maana hiyo ikiwa binadamu amekufa kabla ya miaka 100 hivyo sayari inayofuata ataishi miaka mingi zaidi ili kufidia maisha ya sayari iliyopita

Kama atakutana na changamoto za kufa kabla ya miaka 100 kwa kila sayari ya kwanza mpaka ya sita basi Sayari ya Saba mpaka tisa changamoto za kukatisha maisha yake zitaondolewa na atafidia maisha ya miaka 900 ili amuone mungu

Pia hii inaenda sambamba na wanyama,na viumbe hai wengine

Pia inasemekana binadamu ukiwa unazaliwa kwenye sayari nyingine hutakuwa na uwezo na kumbukumbu kuwa umewahi kuishi ila kumbukumbu zitaanza kurejea utakapofikisha miaka 700 kwenye sayari ya saba na nane ambapo utakuwa muda wa kurekebisha uhai wa maisha yake
 
Miaka mia ina maana kimfano marehu raisi ameweza kweli kuishi miaka mia.Nauliza tu lakini.
 
Sasa ni hakika na wazi kuwa binadamu ataishi kwenye sayari tisa kabla ya kuonana na Mungu

Inasemekana Adam aliishi miaka 900 ambapo kila baada ya miaka 100 alikuwa akiishi kila sayari na Dunia ilikuwa Sayari ya mwisho kuishi kwa Adam

Sasa iko hivi binadamu unatakiwa kuishi miaka 100 kila sayari,na Dunia ndo sayari ya mwisho kwa Adam hivyo Dunia itakuwa sayari ya kwanza kwenda kwenye Sayari zingine zile zenye uhai na si hizi ambazo umesoma kwenye sayansi

Zipo sayari zingine zinazofanana kila kitu na Dunia na ndo safari ya maisha ya binadamu akielekea sayari nyingine

Binadamu akifa baada ya miezi tisa atazaliwa kwa mwanamke katika sayari nyingine

Endapo alikufa akiwa na umri wa miaka 40 atazaliwa kwenye sayari nyingine ambayo kule ataishi miaka 120 ndo atakufa tena na kuzaliwa kwenye sayari ya tatu

Kwa maana hiyo ikiwa binadamu amekufa kabla ya miaka 100 hivyo sayari inayofuata ataishi miaka mingi zaidi ili kufidia maisha ya sayari iliyopita

Kama atakutana na changamoto za kufa kabla ya miaka 100 kwa kila sayari ya kwanza mpaka ya sita basi Sayari ya Saba mpaka tisa changamoto za kukatisha maisha yake zitaondolewa na atafidia maisha ya miaka 900 ili amuone mungu

Pia hii inaenda sambamba na wanyama,na viumbe hai wengine

Pia inasemekana binadamu ukiwa unazaliwa kwenye sayari nyingine hutakuwa na uwezo na kumbukumbu kuwa umewahi kuishi ila kumbukumbu zitaanza kurejea utakapofikisha miaka 700 kwenye sayari ya saba na nane ambapo utakuwa muda wa kurekebisha uhai wa maisha yake
Haijapata kutokea uongo mkubwa kama huu hapa East Africa na ukanda mzima wa jangwa la sahara...khaaaa!!
 
nasemekana Adam aliishi miaka 900 ambapo kila baada ya miaka 100 alikuwa akiishi kila sayari na Dunia ilikuwa Sayari ya mwisho kuishi kwa Adam

Sasa iko hivi binadamu unatakiwa kuishi miaka 100 kila sayari,na Dunia ndo sayari ya mwisho kwa Adam hivyo Dunia itakuwa sayari ya kwanza kwenda kwenye Sayari zingine zile zenye uhai na si hizi ambazo umesoma kwenye sayansi
haya yatakuwa mafundisho yaliyo ndani ya Quran! Hakuna kitu kama hicho ndugu! :D
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom