Haya sasa yeye kala wali maharage wewe uku huna ata hela kula chips na mayai mara kuku wakati mfukoni huna kitu
NB:billgates akila wali maharage na wanafunzi wa kicheba primary school uko muheza
Haya sasa yeye kala wali maharage wewe uku huna ata hela kula chips na mayai mara kuku wakati mfukoni huna kitu
NB:billgates akila wali maharage na wanafunzi wa kicheba primary school uko muheza
Haya sasa yeye kala wali maharage wewe uku huna ata hela kula chips na mayai mara kuku wakati mfukoni huna kitu
NB:billgates akila wali maharage na wanafunzi wa kicheba primary school uko muheza
Alikula wali maharage pamoja na wanafunzi hao.
Ni mfano wa kuigwa, kuwa matajiri wawe na mda wa kujichanganya na masikini kwenye baadhi ya matukio.
Ili kujifunza na ikiwezekana kusaidia katika miradi mihimu ya kijamii.
hivi unajua kuna wabongo wanakula hela za bill gates na tuko nao hapahapa bongo bahati mbaya?!! kuna wahuni morogoro wana mradi wa mabusha ya panya buku, juzi melinda gates kaja kimya kimya kukagua na akaacha mlungula.