Bill counter (machine ya kuhesabia pesa) kutoka Anostore zina changamoto

Bill counter (machine ya kuhesabia pesa) kutoka Anostore zina changamoto

rich1

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
3,077
Reaction score
3,419
Habar wandugu,,,,,,hawa jamaa wakuitwa Anostore muwe nao makini Kuna machine zao za kuhesabia pesa bill counter wanauza,,,zina changamoto ya kugundua pesa fake...juzi nimechukua moja inanisumbua na mwambia boss wao kagoma kurudisha... nifanyeje wadau????
PXL_20251026_095910965.jpg
 
Habar wandugu,,,,,,hawa jamaa wakuitwa Anostore muwe nao makini Kuna machine zao za kuhesabia pesa bill counter wanauza,,,zina changamoto ya kugundua pesa fake...juzi nimechukua moja inanisumbua na mwambia boss wao kagoma kurudisha... nifanyeje wadau????View attachment 3494559
Mkataba wa nauzo ukoje, huenda hakuna kupengele kunachosema au kudai hao madai yako ....
 
Nasema deilee tuaminini vijana wenu humu,hata mali ikizingua tunajua wapi tunaazia hamtaki.
Mnaona bora mkanunue Instagram 💔
 
Habar wandugu,,,,,,hawa jamaa wakuitwa Anostore muwe nao makini Kuna machine zao za kuhesabia pesa bill counter wanauza,,,zina changamoto ya kugundua pesa fake...juzi nimechukua moja inanisumbua na mwambia boss wao kagoma kurudisha... nifanyeje wadau????View attachment 3494559
Mkuu sema tu ulitaka tujue una mashine ya kuhesabia pesa.
 
Back
Top Bottom