simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
This is Pizza joint not a war zone for Gods sake, lift the defences , be playfull, be happy!
Ok simplemind :becky::focus:This is Pizza joint not a war zone for Gods sake, lift the defences , be playfull, be happy!
Hahusiki, waliohusika ni nchi za Ulaya, si Marekani.
Ameboresha pensheni kwa wastaafu; amejenga mahusiano mazuri ktk ulimwengu wa Waislamu; masuala ya nuclear hatuyasikii sana siku hizi; rate ya ukosefu wa ajira kidogo imepungua; amepunguza makali ya financial crisis kwa kutoa stimulus ya $ 789 bilioni; Kibano kwa Obama; kuweka ratiba ya kuondoa majeshi ya US kule Iraq; sera ya climate change n.k.
Rais wa zamani wa Marekani Mzee Bill Clinton Amuinamia Rais Barack Obama.
Kwa upande wa elimu amefanya makubwa kadhaa ikiwa ni pamoja na:
- Kuongeza ratiba ya wanafunzi kubaki shuleni hadi saa 10 alasiri badala ya saa nane mchana
- Wanafunzi kuvaa sare shuleni kuliko ilivyozoeleka kama wanaenda disco
hiyo ni ishara ya kifree mason
Clinton anatoa heshma ya ki-freemason hiyo!!
Mzee hii naona unatia chumvi sasa